Nauliza mwenzenu pale mwanaume anapoomba msamaha mpaka machozi yanatoka huwa mnamaanisha au maigizo tu.
Nimewahi kushuhudia mara nyingi katika situation tofauti,my hubby once sasa jana shemeji yangu(hubby of my friend) alikuwa akimwomba msamaha mke wake mpaka analia kama amefiwa khaa!
Naombeni uzoefu hapa ni maigizo au kweli anakuwa anajutia ndio mpaka machozi?
fanya analysis pale mwanaume anapokuwa amefiwa na mpendwa wake, yani mtu wake wa karibu...
maumivu ya kugugumia ndio maumivu yanayoumiza na ndio maumivu haswaa yanayotoka moyoni...
Hicho ndicho kilio halisi cha mwanaume... kugugumia, sio kutoa makelele!
A man was created to cry in a silent mode.
Tunajuwa huwa hamuwezi kuhimili mkiona mwanaume anatoa chozi... And we use the weakness... Yaani hata kama unajuwa kuwa ni maigizo, you cant resist.. this is how you are.. ndivyo mlivyoumbwa
Mwanaume halii bhana
Mimi nililia kwenye msiba tu , nikimkosea my waifu wangu huwa nasema "ninaomba uniwie radhi, ninajutia kosa langu na sirudii tena" FULLSTOP. nilie ili iweje?
Wanaume wa kulia huwa ni waongo sana, yani usimuamini kabisaaaaa
Nauliza mwenzenu pale mwanaume anapoomba msamaha mpaka machozi yanatoka huwa mnamaanisha au maigizo tu.
Nimewahi kushuhudia mara nyingi katika situation tofauti,my hubby once sasa jana shemeji yangu(hubby of my friend) alikuwa akimwomba msamaha mke wake mpaka analia kama amefiwa khaa!
Naombeni uzoefu hapa ni maigizo au kweli anakuwa anajutia ndio mpaka machozi?
^^
Usimwache mwanaume anaetoa chozi kwa ajili yako, Kosa hilo halina tofauti na la mwanaume kuchoma nguo za mkewe
^^
Mkuu, kama hawataelewa hapa, basi teeenaaaa..... NA shida yao ukikaa kimya wanaona wamedharauliwa.. kumbe we unagugumia
weeee tena subiri....unadhani wenzio wanapenda?
kwa hiyo ni gia tu usamehewe?