Kweli chama kimepata mgombea

Kweli chama kimepata mgombea

attachment.php
 
Ungekuwa unayatendea kazi maneno yako basi ungekuwa na akili ya kumchagua mgombea bora na sio mwana sarakasi

Mtu anakuuliza kati ya X na Y hujui kabisa background yao. Xalikuwa kwenye gari ya wazi na anakabiliwa na mikutano kadhaa askari amechelewakufungua mlango kwa dakika kadhaa. X katokea juu kama komandoo na kuanzakuhutubia. Na Y askari kachelewa dakika 30, yuko tu anashangaaa ndani ya garihajui kinachoendelea anasubiri askari afungue mlango. Askari anamfungulia Y anatokamlinzi anamwambia muda wa kampeni umeisha Mzee. Je kati ya X na Y utamchaguanani???? Sasa kila tukio jaribu kulilinganisha na yaya sawa Jimena????

 
tunasubiri walau nae mgombea wa ukawa ajibu mapigo kwa kupiga sarakasi walau mbili tu

Hivi mmesikia kuwa UKAWA wana copy na ku pest?? Hatutaki sarakasi, hatuendi kuonesha ujuha. Kama kaanza kuruka kwenye dirisha la gari badala ya kufungua mlango aruke si atakuwa kituko akiingia Ikulu?? Atakuwa anaruka getini au wapi sasa?? Acheni usoro jamani, pa kukemea tukemee, pa kusifu tusifu. Ule ujinga wa zidumu fikra sahihi si ulipita na yeye??
 
Mpuuzi ni yule asiyejua kuoanisha matukio na hali halisi.Kuruka kwenye gari ni ishara ya kutake action haraka!!! Hiyo ndiyo messagesitasema sana maana kama tafsiri ndogo kama hiyo imekushinda sijui mengineitakuwaje???

Kwahiyo mnajiandaa kutoa muvi sio!!???
 
Of course majority ya mafisadi wakoupande wako sasa mafisadiwako asilimia ngapi Tanzania. Fanya hesabu za asilimia uje ulete jibu hapa.SISI ( majority) hatuna wasiwasi tunangojea tu tarehe 25 October 2015, Jembea.k.a Tingatinga lianze kazi liwanyooshe wazembe!

The poorest reply ever
 
Mtu anakuuliza kati ya X na Y hujui kabisa background yao. Xalikuwa kwenye gari ya wazi na anakabiliwa na mikutano kadhaa askari amechelewakufungua mlango kwa dakika kadhaa. X katokea juu kama komandoo na kuanzakuhutubia. Na Y askari kachelewa dakika 30, yuko tu anashangaaa ndani ya garihajui kinachoendelea anasubiri askari afungue mlango. Askari anamfungulia Y anatokamlinzi anamwambia muda wa kampeni umeisha Mzee. Je kati ya X na Y utamchaguanani???? Sasa kila tukio jaribu kulilinganisha na yaya sawa Jimena????


Kwahiyo milango ya mav8 ina makufuli kwa nje.. Na solution ni kutokea kwenye open roof.... Mungu wangu
Na hivi kuhutubia ni jambo la dharura kiasi hicho? Halafu ni lini Lowassa alishawahi Kukaa kwenye gari nususaa akisubiri kufunguliwa mlango???
 
Duuuh nimecheka sana yani mbwembwe nyingine mtu unaonekana chizi ss



Tusipo angalia tutachagua machizi mwaka huu yaani napata picha kwamba ndio rais alafu kaalikwa nchi jiran alafu kuna kamsongamano ka watu rais wa TZ anaruka juu ya roof ya gari kwakwel hizi sifa zakijinga sana ndio maana mkewe hampi ushirikiano sababu anaogopa kuchuma fedhea kwenye umati wa watu lol hili zigo hat are





Viva lowasa ....,.Viva ukawa
 
si ajabu hata ikulu akawa anaruka madirishani! kama akiwa wazir mkuu.. maana urais hapati!
 
Duuuh nimecheka sana yani mbwembwe nyingine mtu unaonekana chizi ss



Tusipo angalia tutachagua machizi mwaka huu yaani napata picha kwamba ndio rais alafu kaalikwa nchi jiran alafu kuna kamsongamano ka watu rais wa TZ anaruka juu ya roof ya gari kwakwel hizi sifa zakijinga sana ndio maana mkewe hampi ushirikiano sababu anaogopa kuchuma fedhea kwenye umati wa watu lol hili zigo hat are





Viva lowasa ....,.Viva ukawa

si ajabu hata ikulu akawa anaruka madirishani! kama akiwa wazir mkuu.. maana urais hapati!

Sidhani kama magufuli ananijua nini hasa maana ya protocols
 
Ni kweli kuna shida kubwa sana ndani ya kichwa cha huyu jamaa,nilimshangaa zaidi alipokuwa Mza eti anajisifia kuwa anaweza kupiga push up nyingi za kutosha sasa sijui siku hizi Ikulu imekuwa ya mashindano ya michezo?
 
HARUFU hii reply ni yako kweli?

Kiongozi ujue kwanini?

Hao jamaa kuwaondoa hata kwa reki haiwezekani.

Hapa kama tunaangalia mpira ambao umeshachezwa tayari, kitu sio moja kwa moja.

Na cha nyongeza Wanasiasa wetu wapo kimaslahi zaidi, mimi nimewashusha thamani UKAWA kwa kitendo cha kurubuniwa kwa pesa na kumpokea Lowasa.

Je Lowasa kama asingetupwa kwenye kinyang'anyiro, na angefanikiwa kuwa mgombea wa Urais kupitia CCM unafikiri angekimbilia UKAWA?

Na je kama angekuwa Mzalendo wa kweli si angebaki hukohuko CCM!

Kwanini akimbilie UKAWA?

Imeonesha kwa kiasi kikubwa yupo kimaslahi zaidi.

UKAWA ningewakubali na kuwaona wanajeshi kama wangeonesha msimamo, na kutompokea Lowasa.

Mimi ndio maana Siasa hainiumizi kichwa hata kidogo, mradi Ugali wangu na familia yangu unapatikana basi nashukuru sana.

Siwezi kujiumiza kichwa kwa ajili ya maslahi ya watu kadhaa, hapana
 
Back
Top Bottom