Kweli chama kimepata mgombea

Kweli chama kimepata mgombea

kwakuniita dogo tu umeshajitambulisha ulivyo mkurupukaji.. mbona wenu alipojinyea hukusema?? au nalo pozi la siasa

Ooh sorry kumbe ningekuita kubwa.... Nisingekuwa mkurupukaji? Jadili kilichopo kwenye post achana na blahblah nyingine
 
Sasa sisi waTanzania ndio tunamtaka rais wa namna hii!!! yuko tayari kwa jambo lolote na wakati wowote! sio kuzubaazubaa! Huyu kama htatari inatoikea anaweza jihami yeye mwenyewe hategemei walinzi 100% kwa Tanzania ilipofika hatakiwi Raisi wa kusinziasinzia a.k.a Mdebwedo no! Tunataka mtu sharp physically and mentally! And Magufuli is the one! Nikukumbushe , hebu tafuta picha ye Rais Mstaafu wa Ghana alivyoingia mtaroni kushuhudia what was wrong na inakuwaje watendaji wanashindwa tatua!?!? Ndio tunamtaka Rais wa Caliblre hii!

View attachment 293294 ambaye yuko tayari kwa jambo lolote...!!!??? Hata kama ni LA kipuuzi hata kama ni la kipumbavu hata kama halina maslahi kwa taifa...... Kweli kazi tunayoView attachment 293296
 
I do repeat "Sasa sisi waTanzania ndio tunamtaka rais wa namna hii!!! yuko tayari kwa jambo lolote na wakati wowote! sio kuzubaazubaa! Huyu kama htatari inatoikea anaweza jihami yeye mwenyewe hategemei walinzi 100% kwa Tanzania ilipofika hatakiwi Raisi wa kusinziasinzia a.k.a Mdebwedo no! Tunataka mtu sharp physically and mentally! And Magufuli is the one! Nikukumbushe , hebu tafuta picha ye Rais Mstaafu wa Ghana alivyoingia mtaroni kushuhudia what was wrong na inakuwaje watendaji wanashindwa tatua!?!? Ndio tunamtaka Rais wa Caliblre hii!"
 
Sasa kupiga push up na Kutoka kikomandoo kutoka kwenye roof juu kuna upumbavu gani hapo?

Duu Mwana unajua push-up ilivyo lakini? 1443679551813.jpg kila jambo lina mahali pake tuachane na propaganda hivi pale angevaa bukta akapanda jukwaani angeeleweka kweli?
Iko hivi angedamka asubuhi ataenda jogging na tracksuit yake kisha akapiga hizo push-ups zake na kuparamia magari isingekuwa tatizo

Kutoka kikomandoo kwenye roof juu??? Are you serious??? This should be the biggest joke of the year....
 
Last edited by a moderator:
Duu Mwana unajua push-up ilivyo lakini? View attachment 293298 kila jambo lina mahali pake tuachane na propaganda hivi pale angevaa bukta akapanda jukwaani angeeleweka kweli?
Iko hivi angedamka asubuhi ataenda jogging na tracksuit yake kisha akapiga hizo push-ups zake na kuparamia magari isingekuwa tatizo

Hamna cha propaganda Mshana , tunataka Rais Sharp!!! kwa tulipoofikia Tanzania tunataka Rais sharp in all corners! Sharp in making decisions! Hapo message sent t all of us Ugoigoi kazini mwisho 25thOctober 2015!!!!!
 
sasa huyo magufuri kwa bahati mbaya angeteleza na kuvunjika mguu angemlaumu nani? huyu akapimwe akili
 
Hamna cha propaganda Mshana , tunataka Rais Sharp!!! kwa tulipoofikia Tanzania tunataka Rais sharp in all corners! Sharp in making decisions! Hapo message sent t all of us Ugoigoi kazini mwisho 25thOctober 2015!!!!!

mpuuzi kweli kuruka kwenye gari ndio ushapu? taifa gani lililoendelea raisi wake wameruka kwenye magari? huo ni upuuzi na utahira
hivi wewe kwa akili zako nyumbani kwako uache kutokea mlangoni upitie juu ya bati utakuwa na akili kweli?
 
I do repeat "Sasa sisi waTanzania ndio tunamtaka rais wa namna hii!!! yuko tayari kwa jambo lolote na wakati wowote! sio kuzubaazubaa! Huyu kama htatari inatoikea anaweza jihami yeye mwenyewe hategemei walinzi 100% kwa Tanzania ilipofika hatakiwi Raisi wa kusinziasinzia a.k.a Mdebwedo no! Tunataka mtu sharp physically and mentally! And Magufuli is the one! Nikukumbushe , hebu tafuta picha ye Rais Mstaafu wa Ghana alivyoingia mtaroni kushuhudia what was wrong na inakuwaje watendaji wanashindwa tatua!?!? Ndio tunamtaka Rais wa Caliblre hii!"

Htatari = Hatari
Inatoikea = inatokea


Usiseme sisi Sema mimi. Kwani mwalimu wako hakukufundisha hata kutofautisha umoja na wingi? Ama ndo div 5 katika ubora wake!
 
Shit! Shit! Sasa tatizo lipo wapi hapo? Badala ya kusifia uhimara wake wa afya ninyi mnaponda?
Mbona nabii Musa na baadhi ya manabii walikua wanaambatana na askri wao kwenye viwanja vya mapambano kupigana dhidi ya maadui zao?

Sijakusoma hapo team makomeo!
 
mpuuzi kweli kuruka kwenye gari ndio ushapu? taifa gani lililoendelea raisi wake wameruka kwenye magari? huo ni upuuzi na utahira
hivi wewe kwa akili zako nyumbani kwako uache kutokea mlangoni upitie juu ya bati utakuwa na akili kweli?

Mpuuzi ni yule asiyejua kuoanisha matukio na hali halisi.Kuruka kwenye gari ni ishara ya kutake action haraka!!! Hiyo ndiyo messagesitasema sana maana kama tafsiri ndogo kama hiyo imekushinda sijui mengineitakuwaje???
 
Htatari = Hatari
Inatoikea = inatokea


Usiseme sisi Sema mimi. Kwani mwalimu wako hakukufundisha hata kutofautisha umoja na wingi? Ama ndo div 5 katika ubora wake!

SISI inawakilisha majority sasa kama wewe unamezaaliyokufundisha mwalimu bila kuanalyse itakuwa ngumu kuelewana!!!
 
SISI inawakilisha majority sasa kama wewe unamezaaliyokufundisha mwalimu bila kuanalyse itakuwa ngumu kuelewana!!!

Ukumbuke kuweka space baada ya kila neno tafadhali. Kwani hiyo simu ni mpya?
Unaongeleaje majority wakati unajua fika kwa sasa mlio upande huo hamzidi hata asilimia 30?
Cc: wembeee
Cc: nifah
Na wote wanaojitambua ✌✌ #TorokaUje
 
Last edited by a moderator:
Ukumbuke kuweka space baada ya kila neno tafadhali. Kwani hiyo simu ni mpya?
Unaongeleaje majority wakati unajua fika kwa sasa mlio upande huo hamzidi hata asilimia 30?
Cc: wembeee
Cc: nifah
Na wote wanaojitambua ✌✌ #TorokaUje


Of course majority ya mafisadi wakoupande wako sasa mafisadiwako asilimia ngapi Tanzania. Fanya hesabu za asilimia uje ulete jibu hapa.SISI ( majority) hatuna wasiwasi tunangojea tu tarehe 25 October 2015, Jembea.k.a Tingatinga lianze kazi liwanyooshe wazembe!
 
Mpuuzi ni yule asiyejua kuoanisha matukio na hali halisi.Kuruka kwenye gari ni ishara ya kutake action haraka!!! Hiyo ndiyo messagesitasema sana maana kama tafsiri ndogo kama hiyo imekushinda sijui mengineitakuwaje???

sawa mwana ila mwisho wenu ni 25 Oct
 
Of course majority ya mafisadi wakoupande wako sasa mafisadiwako asilimia ngapi Tanzania. Fanya hesabu za asilimia uje ulete jibu hapa.SISI ( majority) hatuna wasiwasi tunangojea tu tarehe 25 October 2015, Jembea.k.a Tingatinga lianze kazi liwanyooshe wazembe!

ataanza kumnyoosha kikwete na riz 1
 
Of course majority ya mafisadi wakoupande wako sasa mafisadiwako asilimia ngapi Tanzania. Fanya hesabu za asilimia uje ulete jibu hapa.SISI ( majority) hatuna wasiwasi tunangojea tu tarehe 25 October 2015, Jembea.k.a Tingatinga lianze kazi liwanyooshe wazembe!

Kwanza kaombe wakusaidie kukununulia simu inayofanya kazi vizuri ndo uje kuongea hapa mana hiyo inaonyesha fika kuwa touch yake ni mbovu
 
Kwanza kaombe wakusaidie kukununulia simu inayofanya kazi vizuri ndo uje kuongea hapa mana hiyo inaonyesha fika kuwa touch yake ni mbovu

Nanyamaza maana kama argument yako ni unatumia simu gani ooh touch whatever!?! Badala yakuongelea hoja nzito. Let me remind you my sister, hapa tunamuongelea mtu waMustakabali wa Watanzania zaidi ya milioni arobaini kwa muda wa miaka kumi andbeyond. Sasa ukianza mambo ya touch screen wakati huu. Mungu wangu are youserious?!?!?

 
Nanyamaza maana kama argument yako ni unatumia simu gani ooh touch whatever!?! Badala yakuongelea hoja nzito. Let me remind you my sister, hapa tunamuongelea mtu waMustakabali wa Watanzania zaidi ya milioni arobaini kwa muda wa miaka kumi andbeyond. Sasa ukianza mambo ya touch screen wakati huu. Mungu wangu are youserious?!?!?


Ungekuwa unayatendea kazi maneno yako basi ungekuwa na akili ya kumchagua mgombea bora na sio mwana sarakasi
 
Back
Top Bottom