Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 370,454
- 857,737
- Thread starter
- #41
kwakuniita dogo tu umeshajitambulisha ulivyo mkurupukaji.. mbona wenu alipojinyea hukusema?? au nalo pozi la siasa
Ooh sorry kumbe ningekuita kubwa.... Nisingekuwa mkurupukaji? Jadili kilichopo kwenye post achana na blahblah nyingine