Kweli chama kimepata mgombea

Kweli chama kimepata mgombea

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,270
Reaction score
829,293
1443659581196.jpg
 
Yaani akili alioonyesha magufuli hapa ya kiduanzi kweli hahahahaha sijui tutakuwa na raisi wa namna gani mungu tusaidie na huu mzigo usiouzika
 
Yaani akili alioonyesha magufuli hapa ya kiduanzi kweli hahahahaha sijui tutakuwa na raisi wa namna gani mungu tusaidie na huu mzigo usiouzika

Tukiachana na propaganda kuna shida kubwa kwenye medula ya JPM hivi kwenye gari ni sehemu gani rahisi ya kutoka /kushuka mlangoni au kwenye roof? Wahuni wanaweza kufanya hivyo Kama showoff lakini sio mtu wa kaliba ya mgombea urais
Sababu aliyotoa ni kwamba eti anacheleweshwa...!!!!???
-kuhutubia? Hapana...!
-kuchimba dawa? Yaweza kuwa
-dharura? Ya nini sasa...!
Yeye kama mgombea kuna utaratibu kwenye chochote, huwezi tuu kufika mahali kabla gari halijasimama vema uwe umeshachumpa nje na kukimbilia jukwaani Kama mwanamuziki... Kuna tofauti kubwa Kati ya tamasha la mziki na mkutano wa Kampeni tena za urais
 
Maandiko yako tu umeshakiri kuwa Magufuli ndiyo rais.

Dada, wameshakubali matokeo! Walitukana taasisi za kitafiti wee lakini wameona mwisho. Na ule uzushi wa jana ndiyo wamewavunja moyo wale wachache wenye chembe ya intelligence waliojua Lowassa kuhamia ilikuwa strategic move. Sasa wameona hakuna anayehama wala nini. They are stuck na Lowassa, Mgeja na Masha. Bunch of loosers.
Sasa wamebaki na uzushi tu na kubwabwaja.
Very sad kuangalia jinsi chama chenye potential kama Chadema ikipotea taratibu!
 
hakuna zaidi ya magufuli

Dada, wameshakubali matokeo! Walitukana taasisi za kitafiti wee lakini wameona mwisho. Na ule uzushi wa jana ndiyo wamewavunja moyo wale wachache wenye chembe ya intelligence waliojua Lowassa kuhamia ilikuwa strategic move. Sasa wameona hakuna anayehama wala nini. They are stuck na Lowassa, Mgeja na Masha. Bunch of loosers.
Sasa wamebaki na uzushi tu na kubwabwaja.
Very sad kuangalia jinsi chama chenye potential kama Chadema ikipotea taratibu!

Pwagu na pwaguzi katika ubora....!!!
 
Dah, MAGUFULI HAJIELEWI. Tunatafuta Rais siyo mwanasarakasi! Zigo hili haliuziki!!

Kutokea kwenye roof-let badala ya mlangoni ni kujidhalilisha na kuidhalilisha taaluma na kuleta uharibifu kwenye chombo kilichonunuliwa kwa gharama kubwa
 
tunasubiri walau nae mgombea wa ukawa ajibu mapigo kwa kupiga sarakasi walau mbili tu
 
Shit! Shit! Sasa tatizo lipo wapi hapo? Badala ya kusifia uhimara wake wa afya ninyi mnaponda?
Mbona nabii Musa na baadhi ya manabii walikua wanaambatana na askri wao kwenye viwanja vya mapambano kupigana dhidi ya maadui zao?
 
Back
Top Bottom