Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
- Thread starter
- #21
hapo ndo kwenyewe sasa,kila siku mnaambiwa yatosha,sasa inabana poleni,
*149*99#
Choo ndugu yangu walas.
hapo ndo kwenyewe sasa,kila siku mnaambiwa yatosha,sasa inabana poleni,
*149*99#
Nimetoka kuwapigia huduma kwa wateja muda huu,wamepokea wakawa hawaangaiki na mimi then baada ya muda wajakata,nikawapigia wakapokea na mhudumu anajifanya hanisikii. Akakata naye. Huu ni uhuni, mimi na wiki ya 3 sipati menyu ya yatosha.