Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,611
sisemei mlevi kwani lazima anywe bar? Siku hz kuna counter home ujaona eeh?hivi ni kweli baby. Hao si ndio kila siku skendo na ma bar maids. Huoni asprin alivyo oza kwa eliza pale zero pub
sisemei mlevi kwani lazima anywe bar? Siku hz kuna counter home ujaona eeh?hivi ni kweli baby. Hao si ndio kila siku skendo na ma bar maids. Huoni asprin alivyo oza kwa eliza pale zero pub
NN you just know the reason why my armpits look the way they Look.
Thank you for the English Correction, Next time I will pull up my Sox.
<br />Anapo nitongoza mwanaume ambaye hanywi pombe, havuti sigara, wala kilevi chochote basi mimi hoi.
Bebii am talking about a life time relationship.
<br />Anapo nitongoza mwanaume ambaye hanywi pombe, havuti sigara, wala kilevi chochote basi mimi hoi.
vipi bubu haupo nini kwenye hivyo vigezo?Mhhhhhh!
<br />..nina sifa zte hapo juu na nyongeza ni hizi; si mzururaji,cna tamaa tamaa,nna nidhamu,afu nawathamini sn viumbe km nyinyi..cheki PM yangu nimekutumia.
Jasho kwenye dala dala NN
kwa hiyo umeshakuwa na lifetime relationships ngapi? coz unapotongozwa na wenye sifa ulizo zitaja we hooooooooooi, lol. Ntarudi kusoma jibu
huyo wa aina hii lazima atakuwa malaya sana,,,, kila juha lina kasoro zake dada watch out! U can find anayekunywa akawa better off kuliko asiyekunywa na ushahidi upo wanaume wengi wasiokunywa wengi ni watu mademu sanaaaaa! Bora uongelee sigara hiyo naku support na kwenye pombe hatuongelei ulevi wa kulala bar but ukipata mwenza anakunywa kistaraabu sioni shida nini!
Sigara sivuti, Pombe Sinywi, napendelea sana Serengeti baridiAnapo nitongoza mwanaume ambaye hanywi pombe, havuti sigara, wala kilevi chochote basi mimi hoi.
Nachukua sana mvulana anayekunywa Pombe
<br /><br /><br />
<br /><br />
mwongo!
<br />huyo wa aina hii lazima atakuwa malaya sana,,,, kila juha lina kasoro zake dada watch out! U can find anayekunywa akawa better off kuliko asiyekunywa na ushahidi upo ! Bora uongelee sigara hiyo naku support na kwenye pombe hatuongelei ulevi wa kulala bar but ukipata mwenza anakunywa kistaraabu sioni shida nini!