samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,594
- 4,798
haya mama ila wanaume wanaokunywa pombe wajanja sana i like them mwanaume wa juice mmmmh?
leo umenifurahisha
haya mama ila wanaume wanaokunywa pombe wajanja sana i like them mwanaume wa juice mmmmh?
Kikwapa mbona kiko ashy?
NB: Halafu ungejibu, 'yes, it's me' na siyo 'yes, I am'. Just an FYI.
Kwani sigara ina matatizo gani?
duh!demu hutoi changamoto unazingatia sifa ndogo sana!chips kuku je akikununulia?Anapo nitongoza mwanaume ambaye hanywi pombe, havuti sigara, wala kilevi chochote basi mimi hoi.
<br />Anapo nitongoza mwanaume ambaye hanywi pombe, havuti sigara, wala kilevi chochote basi mimi hoi.
NN hao ndio masista du wa kibongoKikwapa mbona kiko ashy?
NB: Halafu ungejibu, 'yes, it's me' na siyo 'yes, I am'. Just an FYI.
nakumissIna harufu mbaya...ukiachilia mbali kua chanzo cha baadhi ya magonjwa!!
watu dizaini hiyo ulevi wao unaujua???????
na bange?
Ina harufu mbaya...ukiachilia mbali kua chanzo cha baadhi ya magonjwa!!
taratibu nduka, lugha hiyo ni kali sana. isitoshe yeye ametoa hisia zake. wapo pia wanaovumilia brothermen wenye nanihiii ambazo ni over size. sio fresh kutoa matusi kiasi hicho.
Anapo nitongoza mwanaume ambaye hanywi pombe, havuti sigara, wala kilevi chochote basi mimi hoi.