Habari wanakundi, Mimi ni binti wa miaka 29, naishi dar.
Mimi ni wakawaida kabisa,
Mrefu kiasi,
Maji ya kunde,
Mkristo(SDA)
Sijasoma sana,
Asili yangu ni kanda ya ziwa,
NATAMANI NIKUTANE NA HUYU MWANAUME.
1. Anayemcha Mungu na awe
Mkristo
2. Asiwe Mme wa mtu,
3. Awe na umri kuanzia 31-36
4. Asiyetumia pombe wala
kilevi chochote
5. Asiyependa kwenda club
wala starehe za namna
hiyo,
6. Mtafutaji,
7. Muwazi na asiyependa
kuweka vitu rohoni
Mimi ni wakawaida kabisa,
Mrefu kiasi,
Maji ya kunde,
Mkristo(SDA)
Sijasoma sana,
Asili yangu ni kanda ya ziwa,
NATAMANI NIKUTANE NA HUYU MWANAUME.
1. Anayemcha Mungu na awe
Mkristo
2. Asiwe Mme wa mtu,
3. Awe na umri kuanzia 31-36
4. Asiyetumia pombe wala
kilevi chochote
5. Asiyependa kwenda club
wala starehe za namna
hiyo,
6. Mtafutaji,
7. Muwazi na asiyependa
kuweka vitu rohoni