Mchumba anahitajika

Miss hael

Member
Apr 16, 2021
65
109
Habari wanakundi, Mimi ni binti wa miaka 29, naishi dar.

Mimi ni wakawaida kabisa,
Mrefu kiasi,
Maji ya kunde,
Mkristo(SDA)
Sijasoma sana,
Asili yangu ni kanda ya ziwa,


NATAMANI NIKUTANE NA HUYU MWANAUME.

1. Anayemcha Mungu na awe
Mkristo
2. Asiwe Mme wa mtu,
3. Awe na umri kuanzia 31-36
4. Asiyetumia pombe wala
kilevi chochote
5. Asiyependa kwenda club
wala starehe za namna
hiyo,
6. Mtafutaji,
7. Muwazi na asiyependa
kuweka vitu rohoni
 
Habari wanakundi, Mimi ni binti wa miaka 29, naishi dar.

Mimi ni wakawaida kabisa,
Mrefu kiasi,
Maji ya kunde,
Mkristo(SDA)
Sijasoma sana,
Asili yangu ni kanda ya ziwa,


NATAMANI NIKUTANE NA HUYU MWANAUME.

1. Anayemcha Mungu na awe
Mkristo
2. Asiwe Mme wa mtu,
3. Awe na umri kuanzia 31-36
4. Asiyetumia pombe wala
kilevi chochote
5. Asiyependa kwenda club
wala starehe za namna
hiyo,
6. Mtafutaji,
7. Muwazi na asiyependa
kuweka vitu rohoni
Baba bhooke! Tangu tumeingia humu ndani unaniraaambaraamba tuuu, nit....mbe turaare!
 
Habari wanakundi, Mimi ni binti wa miaka 29, naishi dar.

Mimi ni wakawaida kabisa,
Mrefu kiasi,
Maji ya kunde,
Mkristo(SDA)
Sijasoma sana,
Asili yangu ni kanda ya ziwa,


NATAMANI NIKUTANE NA HUYU MWANAUME.

1. Anayemcha Mungu na awe
Mkristo
2. Asiwe Mme wa mtu,
3. Awe na umri kuanzia 31-36
4. Asiyetumia pombe wala
kilevi chochote
5. Asiyependa kwenda club
wala starehe za namna
hiyo,
6. Mtafutaji,
7. Muwazi na asiyependa
kuweka vitu rohoni
Wewe hujiamini!
 
Habari wanakundi, Mimi ni binti wa miaka 29, naishi dar.

Mimi ni wakawaida kabisa,
Mrefu kiasi,
Maji ya kunde,
Mkristo(SDA)
Sijasoma sana,
Asili yangu ni kanda ya ziwa,


NATAMANI NIKUTANE NA HUYU MWANAUME.

1. Anayemcha Mungu na awe
Mkristo
2. Asiwe Mme wa mtu,
3. Awe na umri kuanzia 31-36
4. Asiyetumia pombe wala
kilevi chochote
5. Asiyependa kwenda club
wala starehe za namna
hiyo,
6. Mtafutaji,
7. Muwazi na asiyependa
kuweka vitu rohoni
Mjoli wa Bwana Kuwa, makini si salama sana humu ndani

Sent from my LND-L29 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom