Kwaresma na Pasaka Special Thread

Kwaresma na Pasaka Special Thread

Tumsifu Yesu kristo niwatikie maandalizi mema ya pasaka, na kumbukizi ya ijumaa kuu

Brother Hovering

Dr am 4 real PhD

makutupora & Bolotoba

Ndege Joni ntumie hela yangu usisahau ya pasaka secretarybird

Tujikumbushie kibao Cha lulu,

Yesu nipeleke kule kwa baba

Nikaishi nae kule mbinguni,

Kwenye mji wa lulu milango ya dhahabu,

Ooh ooh lulu ooh lulu nipo mbinguni,

Mmh mmmh kweli ndani ya Yesu Kuna Raha ya ajabu isio na mwisho kweli ni kama ni mmmh.....

Tunapoimalizia kwaresma kumbukizi nzuri sana hii 👇

Mateso yake bwana Yesu,

Yalikuwa ya taabu nyingi,

Lakini bwana wetu Yesu,

Aliyavumilia,

Alipokuwa msalabani,

Alifadhaika sana,

Akasema eloi eloi,

Yaani Mungu wangu, Mungu wangu mbona imeniacha,

Na saa tisa ilipofika Yesu alikata roho mara Nuru ikatoweka pakawa na Giza nene
 
Tumsifu Yesu kristo niwatikie maandalizi mema ya pasaka, na kumbukizi ya ijumaa kuu

Brother Hovering

Dr am 4 real PhD

makutupora & Bolotoba

Ndege Joni ntumie hela yangu usisahau ya pasaka secretarybird

Tujikumbushie kibao Cha lulu,

Yesu nipeleke kule kwa baba

Nikaishi nae kule mbinguni,

Kwenye mji wa lulu milango ya dhahabu,

Ooh ooh lulu ooh lulu nipo mbinguni,

Mmh mmmh kweli ndani ya Yesu Kuna Raha ya ajabu isio na mwisho kweli ni kama ni mmmh.....

Tunapoimalizia kwaresma kumbukizi nzuri sana hii 👇

Mateso yake bwana Yesu,

Yalikuwa ya taabu nyingi,

Lakini bwana wetu Yesu,

Aliyavumilia,

Alipokuwa msalabani,

Alifadhaika sana,

Akasema eloi eloi,

Yaani Mungu wangu, Mungu wangu mbona imeniacha,

Na saa tisa ilipofika Yesu alikata roho mara Nuru ikatoweka pakawa na Giza nene
Hahaha 😁😂 mkuu hiyo ngoma ni tamu mno. Unafanya nimkumbuke pasta Mwiru AKA suti ya zege.
 
Pasta Piusi Mwiru nilikuwa nampata vyema kupitia KBC Taifa sauti ni ya mkenya kila jumamosi kwenda jumapili

Hakika kipindi hiko tuliitegea redio sikio......
Acha mkuu, yaani acha kabisa. Kipindi kilikuwa kinasindikizwa na ngoma ya "...ooh lulu, oooh lulu...."

Ni ngori!
 
Tumsifu Yesu kristo niwatikie maandalizi mema ya pasaka, na kumbukizi ya ijumaa kuu

Brother Hovering

Dr am 4 real PhD

makutupora & Bolotoba

Ndege Joni ntumie hela yangu usisahau ya pasaka secretarybird

Tujikumbushie kibao Cha lulu,

Yesu nipeleke kule kwa baba

Nikaishi nae kule mbinguni,

Kwenye mji wa lulu milango ya dhahabu,

Ooh ooh lulu ooh lulu nipo mbinguni,

Mmh mmmh kweli ndani ya Yesu Kuna Raha ya ajabu isio na mwisho kweli ni kama ni mmmh.....

Tunapoimalizia kwaresma kumbukizi nzuri sana hii 👇

Mateso yake bwana Yesu,

Yalikuwa ya taabu nyingi,

Lakini bwana wetu Yesu,

Aliyavumilia,

Alipokuwa msalabani,

Alifadhaika sana,

Akasema eloi eloi,

Yaani Mungu wangu, Mungu wangu mbona imeniacha,

Na saa tisa ilipofika Yesu alikata roho mara Nuru ikatoweka pakawa na Giza nene
Amina baba
 
Tumsifu Yesu kristo niwatikie maandalizi mema ya pasaka, na kumbukizi ya ijumaa kuu

Brother Hovering

Dr am 4 real PhD

makutupora & Bolotoba

Ndege Joni ntumie hela yangu usisahau ya pasaka secretarybird

Tujikumbushie kibao Cha lulu,

Yesu nipeleke kule kwa baba

Nikaishi nae kule mbinguni,

Kwenye mji wa lulu milango ya dhahabu,

Ooh ooh lulu ooh lulu nipo mbinguni,

Mmh mmmh kweli ndani ya Yesu Kuna Raha ya ajabu isio na mwisho kweli ni kama ni mmmh.....

Tunapoimalizia kwaresma kumbukizi nzuri sana hii 👇

Mateso yake bwana Yesu,

Yalikuwa ya taabu nyingi,

Lakini bwana wetu Yesu,

Aliyavumilia,

Alipokuwa msalabani,

Alifadhaika sana,

Akasema eloi eloi,

Yaani Mungu wangu, Mungu wangu mbona imeniacha,

Na saa tisa ilipofika Yesu alikata roho mara Nuru ikatoweka pakawa na Giza nene
Njoo pm bas mkuu
 
Tumsifu Yesu kristo niwatikie maandalizi mema ya pasaka, na kumbukizi ya ijumaa kuu

Brother Hovering

Dr am 4 real PhD

makutupora & Bolotoba

Ndege Joni ntumie hela yangu usisahau ya pasaka secretarybird

Tujikumbushie kibao Cha lulu,

Yesu nipeleke kule kwa baba

Nikaishi nae kule mbinguni,

Kwenye mji wa lulu milango ya dhahabu,

Ooh ooh lulu ooh lulu nipo mbinguni,

Mmh mmmh kweli ndani ya Yesu Kuna Raha ya ajabu isio na mwisho kweli ni kama ni mmmh.....

Tunapoimalizia kwaresma kumbukizi nzuri sana hii 👇

Mateso yake bwana Yesu,

Yalikuwa ya taabu nyingi,

Lakini bwana wetu Yesu,

Aliyavumilia,

Alipokuwa msalabani,

Alifadhaika sana,

Akasema eloi eloi,

Yaani Mungu wangu, Mungu wangu mbona imeniacha,

Na saa tisa ilipofika Yesu alikata roho mara Nuru ikatoweka pakawa na Giza nene
🙏🙏🙏🙏 Mkuu, barikiwa Sana Sanaa 😊 karibu pasaka. Kigamboni.
 
Back
Top Bottom