Amina.Nawatakien nyote kwaresma njema
Ndiyo shuma kanifundisha kemia, Mr bean general studies, kasaro bam nilikuwa hata selewii....Kwa hiyo ulifundishwa na akina kasalo, shuma, gudila, milka, shedula bila kumsahau marehemu onesmo ngolo AKA me bean (bini).
Aise wewe kumbe ni familia kabisa, duh nilikuwa sijui kama ulishapita pale.Ndiyo shuma kanifundisha kemia, Mr bean general studies, kasaro bam nilikuwa hata selewii....
Milka alikuwa mmbea, gudila much know, shedula na upara wake
Yuda yupo, huyo mpemba na mkewe apika maandazi, madam mwenye shepu kama ananyoa dinael au nani ? Odilia shao au magreth shayoAise wewe kumbe ni familia kabisa, duh nilikuwa sijui kama ulishapita pale.
Vipi kuhusu yuda na kitambo chake kama kameza mpira na sautibyake kama ya kike, Omary AKA mpemba, pamoja na madam Moja mwenye shepu ambaye nilimtongoza.
RIP Mr. Bien.
Odilia ana mguu mzuuuuri jamani.Yuda yupo, huyo mpemba na mkewe apika maandazi, madam mwenye shepu kama ananyoa dinael au nani ? Odilia shao au magreth shayo
Asante mtumishAsante kwa kunikumbusha mkuu
Benteke tulitaka kumuua mpka tukafukuzwa shule wiki tatu kasoro na wazazi tuje nao plus kuchangishwa 20k za ukarabati baada ya kuharibu nyumba ya benteke ,Odilia ana mguu mzuuuuri jamani.
Magreth Shaya ndo mwenye Shepu kali.
Vipi kuhusu Benteke.
Mwaka juzi nilienda nikamkuta wamemdilisha mkuu wa shule anawapelekesha wanafunzi utafikiri kawazaa yeye.Benteke tulitaka kumuua mpka tukafukuzwa shule wiki tatu kasoro na wazazi tuje nao plus kuchangishwa 20k za ukarabati baada ya kuharibu nyumba ya benteke ,
Hiyo siku nilitembea kutoka lyamungo to machame road ñikiwa peku na mgomo wetu ulimkanya benteke aache kiherehere kama bwabwa na akaacha,
so far tulitaka kukiamsha na umbwe Tena,
Ilifika sehemu nikasema nimalize tuu niondoke nikuwa nshachoka na mpka Leo sijarudi lyamungo sijui pakoje kwa sasa,
Ila napapendea mazingira ukijani full time, ubaridi usio kera, maparachichi, ndizi, maji huhangaiki hata kidogo, msosi usiseme......
Lyamungo home of excellent
Aaah kumbe......., wamgonge,Mwaka juzi nilienda nikamkuta wamemdilisha mkuu wa shule anawapelekesha wanafunzi utafikiri kawazaa yeye.
Yule hawamwezi kabisa, alipewa mamlaka ya juu zaidi na aliyekuwa mkuu wa mkoa Ana Mgwira na DC wa Hai Lengai Ole Sabaya.Aaah kumbe......., wamgonge,
Ulipiga combi gani pale, mshua ndege Joni umenifurahisha sana 😂Yule hawamwezi kabisa, alipewa mamlaka ya juu zaidi na aliyekuwa mkuu wa mkoa Ana Mgwira na DC wa Hai Lengai Ole Sabaya.