Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 18,359
- 37,171
Ntakupa namba yangu ukiwa na muda tuwasilianeee.Sorry nikipita njia ya mji mwema naingia na barabara ipi ?
Ntakupa namba yangu ukiwa na muda tuwasilianeee.Sorry nikipita njia ya mji mwema naingia na barabara ipi ?
Hapana shaka mkuuNtakupa namba yangu ukiwa na muda tuwasilianeee.
Yeah, pamoja na Kikuyu FM bila kusahau Redio maisha.Kuna stesheni ya Citizens chemichemi ya ukweli unaijua
Hakika, tunapotakari kafara yake kristo na jinsi alivyokubali mwenyewe kuwa kafara tunapaswa kuakisi matendo yetu.Na saa tisa ilipofika Yesu alikata roho mara Nuru ikatoweka pakawa na Giza nene
Amina Amina ikawe pasaka yenye kubadilika na kuachana na ya kale tuvae utu upya.Hakika, tunapotakari kafara yake kristo na jinsi alivyokubali mwenyewe kuwa kafara tunapaswa kuakisi matendo yetu.
Ule ni zaidi ya upendo, zaidi ya huruma na nizaidi ya upendeleo.
Monetary doctor safi mdogo wangu kwa kutukumbusha kwa uchache uzito wa tukio na upendo wake Kristo.
Kikuyu siijui afu unaijua vipi redio maisha na mwanedu fm kwenu ni Rombo?Yeah, pamoja na Kikuyu FM bila kusahau Redio maisha.
Mimi nilikaa rombo mkuu miaka ile.Kikuyu siijui afu unaijua vipi redio maisha na mwanedu fm kwenu ni Rombo?
Hii ni citizens chemi chemi ya ukweli, karibu na hujambo Mimi ni Christian Odhiambo,
Ohoo habari yafo meku 😂, na kwenu ni wapi kabisaMimi nilikaa rombo mkuu miaka ile.
Dodoma mkuu Ili nimekaa sehemu tofauti tofauti kutokana na masomoOhoo habari yafo meku 😂, na kwenu ni wapi kabisa
Umesoma Kili boyz au mkuu secDodoma mkuu Ili nimekaa sehemu tofauti tofauti kutokana na masomo
Nilisoma mkuu sec kwa miezi kadhaa nilipofika advance nilijiunga na Lyamungo.Umesoma Kili boyz au mkuu sec
Nikae vizuri 😂😂 unamjua Sanga ? Mzee shoo ?Nilisoma mkuu sec kwa miezi kadhaa nilipofika advance nilijiunga na Lyamungo.
Hahahaha 😂, mkuu yule mkuu wa shule sanga alikuwa aninikubali vibaya mno pia mpishi wetu Mzee shoo alikuwa ananipendelea sana kwani alikuwa ananijazia uji mwingi sana.Nikae vizuri 😂😂 unamjua Sanga ? Mzee shoo ?
Maninaa kumbe ukorofi umeuiga kutoka huko machame
Mwaka gani umetoka hapo 😂Hahahaha 😂, mkuu yule mkuu wa shule sanga alikuwa aninikubali vibaya mno pia mpishi wetu Mzee shoo alikuwa ananipendelea sana kwani alikuwa ananijazia uji mwingi sana.
Aise nimewamisi wote, duh!
Elfu2 na kumina6.Mwaka gani umetoka hapo 😂
Daah nimepita hapo hapo school mates 😂Elfu2 na kumina6.
Wewe ulisoma skuli gani.
Nilikuwa nalala Shaban Robert namba 11. Ulimaliza mwaka gani mkuu.Daah nimepita hapo hapo school mates 😂
Nimelala shabani Robert upstairs room 13.....
Lyamungo shule moja nzuri sana sana ever to see
2019Nilikuwa nalala Shaban Robert namba 11. Ulimaliza mwaka gani mkuu.
Kwa hiyo ulifundishwa na akina kasalo, shuma, gudila, milka, shedula bila kumsahau marehemu onesmo ngolo AKA me bean (bini).2019