Kwanini Zitto Kabwe bado anavaa magwanda ya CHADEMA?

Kwanini Zitto Kabwe bado anavaa magwanda ya CHADEMA?

Je CDM mnahati miliki ya gwanda Hilo? Mbona waislam hawasemi kwanini mapadri wanavaa makanzu nao? Hawasemi ni vazi la kiislam?

Hilo ni vazi Kama yalivyo mavazi mengine!
 
Kuvaa vazi co tatizo mbona tunaona wengi wanaojiita wanaharakati wasio na vyama wanavaa tu.
 
Siku hizi uko huku? hivi unazungumziaje leo ukimwona shonza kavaa kombati za cdm?

It is the content that counts, sio muonekano sababu wapo wanovaa kijani sababu ya njaa zao na wqpo wanaovaa gwanda kama fashion tu na wote wala hawamaanishi yale yanayotizamiwa kwa mavazi hayo!!

It is more of a "symbolic action" of which the meaning remains with the actor not an interpreter!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Magwanda ya Chadema ni yapi hayo?

huyajui au unafiki tu. in rasmi yanajulikana kama huyajui nenda kakojoe ukalale. safe za vyama vyote zinatambilika japo hazijarasimishwa kwa hati miliki. unaweza kuvaa magwanda ya cdm mkutano was ccm au unataka kufa? acha unafiki mtoto
 
Je CDM mnahati miliki ya gwanda Hilo? Mbona waislam hawasemi kwanini mapadri wanavaa makanzu nao? Hawasemi ni vazi la kiislam?

Hilo ni vazi Kama yalivyo mavazi mengine!

Good! Kwanini yawe fashion leo na si jana au juzi? Naona sasa unazidi kusogea, usibadili uelekeo...njooo

Na kwa nini atumie kama fashion wakati akijua cdm ni adui wake
 
Je CDM mnahati miliki ya gwanda Hilo? Mbona waislam hawasemi kwanini mapadri wanavaa makanzu nao? Hawasemi ni vazi la kiislam?

Hilo ni vazi Kama yalivyo mavazi mengine!

Mkuu mapadre walikuwepo kabla ya kuanzishwa uislam mwaka 622. Wao ndio waliiga mapadre wakitaka aonekane wote ni mapadre.
 
yy mama yako?
kuna mijita mingine punguani hasa
yana ndoto ya kutawala yenyewe
sasa mpaka 2025

Jibu hoja na siyo kutanguliza matusi ww gamba gumu .

Hizo ndizo akili za uvccm hata Anna hoja.

Mlimdanganya zito Leo Hi mzimu wa chadema unaendelea kumtafuna na wenzake
 
Back
Top Bottom