Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,466
- 283,838
yale magwanda ndio neema yake , akiyavua tu kaisha ! Magwanda raha sana , halafu yanapendeza mno , Mchange kayang'ang'ania hataki kuyaacha !
Wazee wa copie n paste bwana!Eti na Nepi nae anavaa gwanda zetu!Mtakuja ropoka hata salam yetu ya peeeepleeesssss....Dhaifu nyie!
Chadema ni kama maji usipoyaoga utayanywa tu.
Najua hata ww gamba unayo magwanda ya people.
Mkuu we ni kiranja humu wa kukagua magamba na magwanda? Mi ni mwanachama wa NSSF tu, ila sioni ni kwanini wewe uhoji wenzio kwa kuvaa Gwanda!
Tumia akili kama we we ni mwanaxhama wa nssf kwa nn unakurupuka kujibu thread ya siasa? Hivi unajua mazingira yaliyopo Kati ya huyo mmeo nyepesi na chama chake cha people.
Si anajipambanua siku hizi kama mpinzani was cdm. Kwa nn avalie mavazi yake?
Swali lilikuwa jepesi sana. Mnayo hati miliki?Wazee wa copie n paste bwana!Eti na Nepi nae anavaa gwanda zetu!Mtakuja ropoka hata salam yetu ya peeeepleeesssss....Dhaifu nyie!
Mkuu asante kwa picha ....
.......ni vazi la Taifa !!
![]()
Magwanda ya CHADEMA yakoje?
Mlimnunulia?Kwani ujui zito anavyoinanga cdm? Kwa nn aendelee kuvaa magwanda yetu sasa
Mlimnunulia?
Ndiyo tunapotezwa hivi. Tunashindwa kuangalia mambo muhimu kama milioni 400 inayoibiwa kila siku na PAP tunaishia kujadili nguo anazovaa Zitto.I'm your hsbnd
Unataka kusema Mzito Kabwela ni CCM?
Nimecheka sina mbavu hapa!