mb on
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 1,835
- 799
Ndiyo tunapotezwa hivi. Tunashindwa kuangalia mambo muhimu kama milioni 400 inayoibiwa kila siku na PAP tunaishia kujadili nguo anazovaa Zitto.
Unatumia nguvu nyingi kumjibu huyo troll, ndio akili ndogo tunazoambiwa kila siku achana nae mbulumbudu asikuharibie siku.