johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,118
- 144,034
Ukiwa mfuatiliaji wa habari utagundua mara zote waziri wa afya Zanzibar mh Hamad Rashid amekuwa akimtangulia Ummy Mwalimu kwenye kutoa taarifa za Corona.
Mfano kuwaweka abiria wanaoingia nchini katika karantini alianza Hamad then Ummy akafuatia.
Jana Hamad Rashid katangaza ongezeko la mgonjwa mmoja leo Ummy karudia kitu hivho hicho.
Lakini nimeangalia kwenye taarifa za WHO kule sijaiona Zanzibar kuna Tanzania
Labda Hamad Rashid na Ummy Mwalimu wakubaliane namna ya kutoa taarifa kwa pamoja kwani sisi ni nchi moja mbele ya Dunia.
Nawasilisha
Maendeleo hayana vyama!
Mfano kuwaweka abiria wanaoingia nchini katika karantini alianza Hamad then Ummy akafuatia.
Jana Hamad Rashid katangaza ongezeko la mgonjwa mmoja leo Ummy karudia kitu hivho hicho.
Lakini nimeangalia kwenye taarifa za WHO kule sijaiona Zanzibar kuna Tanzania
Labda Hamad Rashid na Ummy Mwalimu wakubaliane namna ya kutoa taarifa kwa pamoja kwani sisi ni nchi moja mbele ya Dunia.
Nawasilisha
Maendeleo hayana vyama!