Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,129
- 35,151
Hapa suala ni wenza na kiinua mgongo, kwanini wenye vyeo vya juu wakistaafu wenza wao huvuna kiinua mgongo tena kinono lakini wenza wa waalimu, maaskari nk wanabaguliwa?
Haki iko wapi?
Haki iko wapi?