Brightfame
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,345
- 1,406
Mtuma post akili yako ni sawa inafanana na yule aliyesema bila wazungu tusingekuwa tunaujua mlima Kilimanjaro na Ziwa Nyanza ( Victory ). Kama walileta ugali, inakuwaje wao hawaujui na wanakuja kuuonea Afrika na pengine Afrikaans mashariki??!!