Kwanini wazungu huwa hawali sana kama sisi Waafrika?

Wazungu wana matabaka aka social classes. Waliomaliza vyuo au elimu ya juu kiujumla wanakuwa wapo makini na afya zao na aina ya vyakula wanavyokula, hawa wana kipato kikubwa na kwa Marekani wanapenda kwenda grocery stores kama Whole Foods, Costco, Trader Joe's, etc. Wale wenye elimu duni wanapenda sana kula vyakula vya bei rahisi, vyenye sukari, chumvi, mafuta na kemikali nyingi vilivyotengenezwa viwandani au processed foods vikijumlisha fast foods kama pizza, burgers, fries, ice cream, fried chicken, soda, candy, smoothies, fish & chips, kebab, canned food, frozen microwave ready meals, etc. za restaurants na supermarkets za bei rahisi kama Walmart, Spar, Lidl, Aldi, etc. Kundi la mwisho huwa hawapendi kupika au kutengeneza chakula from zero. Hawa ndiyo utawakuta ni overweight sana.
 
Wazungu wako 2 hao uliokutana nao ndio uje kututolea mfano hapa?

40% ya wamarekani ni overweight na obese kutokana na kula hovyo na ulaji usiopangiliwa na inakadiriwa kufikia 2030 60% ya wamarekani watakua overweight kutokana na kula hovyo wewe unasema wazungu hawali sana? Kwa hiyo overweight wameitoa mbinguni?

Ukiangalia mataifa na watu walionenepeana hovyo Duniani utakuja kutuweka sisi waafrika na kula yetu ya hovyo unayoisema?

Shuleni mnasoma nini siku hizi? Yaani sample size ya watu 2 tayari ushafanya conclusion? Aisee.

Kuna mtu alienda Marekani kwa dada ake walipofika Mall dada ake akamwambia nnavyokujua wewe pamoja na Watanzania tununue sahani moja tutakula wote,akashangaa Mmarekani mwingine anakula sahani nzima.
Nadhani sisi hatuli sana ila chakula tunachokula ni content za aina moja.
Hebu fikiria ambavyo familia nyingi za kitanzania ambazo maisha ni ya kawaida wanakula nyama mara mbili kwa wiki tena tuvipande viwili tudogo unaanzaje kuwaambia tusile nyama jamani.
 
Wanakula kwa afya na sio kujaza tumbo, anakula chakula anajua hapa mwili umepata vitamin fulan na inasaidia nini, sasa wewe asubuhi supu, chapati mbili na soda pepsi, mchana unakanyaga ugali, nyama, maharage, na soda fanta, usiku unakula wali na nyama hapo unajionea maajabu yaani kuanzia wewe uwezo wa kufikiri utakua chini. Na hadi watoto utaowazaa level of thinking itakua chini na hutoweza kuyatawala mazingira wala kubuni lolote jema maana automatically una udumavu wa akili toka ukiwa mdogo,
Mkuu, imependeza kwelikweli!!
Wabongo tunapenda sana vitambi!!
 
Back
Top Bottom