Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,617
- 3,718
Hivi kwann wazazi wakiachana sheria zina mfavour mwanamke ndiye achukue mtoto/watoto kwani mwanaume hana haki ya kulea ?
Kuna mwamba anamalumbano na aliyekuwa mke wake kila mtu anagombania abakie na watoto
Mume analalamika mwanamke mlevi hivyo hataki mwanamke abakie kulea watoto na mke analalamika anasema abadani watoto wake hawawezi kulelewa na mama wa kambo , mke amekuwa akipata support ya serikali ya mtaa kuliko mume
Kuna mwamba anamalumbano na aliyekuwa mke wake kila mtu anagombania abakie na watoto
Mume analalamika mwanamke mlevi hivyo hataki mwanamke abakie kulea watoto na mke analalamika anasema abadani watoto wake hawawezi kulelewa na mama wa kambo , mke amekuwa akipata support ya serikali ya mtaa kuliko mume