GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,877
Nasubiri kwa hamu sana tu Majibu yenu.
kwa hiyo we unataka uje kwenye shughuli yetu afu ujipigie utakacho.jenga fikraNasubiri kwa hamu sana tu Majibu yenu.
So huwa tukiPata nafas hatufany makosa😏Kwa sababu wengi huwa hatunaga(nimewakilisha walalahoi wote) uhakika wa kula vyakula kama hivyo na kunywa kama hivyo katika maisha yetu ya kawaida wenyewe mnatuitaga malimbukeni