Kakende
JF-Expert Member
- Aug 18, 2012
- 2,741
- 1,231
Soma hii link ndio utajua hawa jamaa ni akina nani Jewish Inventors
Soma hii link ndio utajua hawa jamaa ni akina nani Jewish Inventors
Hivi ugunduzi ndio IQ kubwa?????!!!!
Na list ya mataifa mengine please ili tupate comparison nzuri mkuu!!!!!
Bila kuwa na IQ kubwa utagundua? Hapa naangalia uchache wao duniani lakini wameweza kuonekana katika ugunduzi soma link hii Jewish Inventors
Inawezekana mazingira yanaruhusu kugundua mkuu na sio lazima IQ iwe sababu kuu!!!!!
Ndio maana niliomba IQ list mkuu ili nione mimi na wengine
Mimi naangalia innovations, hayo mambo ya kujiandikia bila kuona impact hapana. Nani alifanya utafiti wa IQ?, mimi naangalia watu wao wamefanya nini
Ni taifa takatifu la Mungu,makuhani wa kitume na warithi wa ufalme wa Mungu duniani na Mbinguni.....Mungu anawapenda na kuwalinda...tabia zao zinaonyesha kuna kitu kisicho cha kawaida wanajivunia,nacho ni agano lao na Mungu! Atakaewalaani na Mungu atamlaani....
Hivi ugunduzi ndio IQ kubwa?????!!!!
Na list ya mataifa mengine please ili tupate comparison nzuri mkuu!!!!!
Ok sawa tuache IQ twende na ugunduz!!!!!
Naomba gunduzi za nchi nyingine ili tuweze kuwa na ulinganishi katika hili moja na kuona ulivyofikia jumuisho lako
Wayahudi si watu wazuri,ni wakatiri,dharau,kebehi kujiona wao ndo bora,wezi,majigambo,etc.
Hawa jamaa hata mungu wao walimsumbuaga sana wakati anawatoa misri utumwani kwenda nchi ya caanan.
naona mkuu leo umeamuwa kufurahisha baraza, wataalam wa kirusi na kimarekani percent kubwa ni wayaudi.Ok sawa tuache IQ twende na ugunduz!!!!!
Naomba gunduzi za nchi nyingine ili tuweze kuwa na ulinganishi katika hili moja na kuona ulivyofikia jumuisho lako
bado unawapandisha chati sana.hata aliegundua baiskeli ama kalamu nae amesaidia sana wanadamu.
Natambua uwepo wa Mungu ila sio mfuasi wa kila gumu kupewa sababu za Kimungu!!!!!Wayahudi ni wateuli na wabarikiwa wa Mungu wa Abraham,Isaka na Yakobo.Mafanikio ya jamii hutokana na baraka za Mungu wanaomuabudu.Mafanikio ya Wayahudi yamezalisha wivu na chuki kutoka kwa wengine
Wadau nimeona niulize swali hili. Ki historia wayahudi wamekuwa wakichukiwa na jamii mbalimbali duniani. Jana tu Museum yao imeshambuliwa huko Ubelgiji. Wayahudi wamekuwa wakipokea vitisho katika nchi nyingi duniani, waliuawa kama mbu huko ujerumani, pia kuna pozi spesho kwa ajili ya kuwabagua (anti Semitic gesture). Baada ya kuona wanabaguliwa, Marekani ili hapa kuwalinda popote walipo duniani. Kwanini wanachukiwa kiasi hicho?
Hebu weka IQ ranks kwa nchi mkuuu!!!!!!