Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 2,231
- 7,513
Ukisoma biblia kuanzia Mwanzo mpaka Ufunuo Mungu alijitokeza waziwazi pale anapoona watu wake wakiteseka na kuumizwa.
Nimepita hapo ubungo nimeona police wakizingira kanisa la KKKT ambapo waumini wa gwajima wanasali hapo, kimachoenda kutokea hapo ni kipigo cha hatari, Mungu yuko wapi awatetee hao watu? Ni jumapili tatu zimepita wanakula kipigo tu,...
Mwenyezi Mungu amekaa kmya kwa sababu Gani? Mwenye kujua au wataalamu wa teolojia tuambieni,..
Nimepita hapo ubungo nimeona police wakizingira kanisa la KKKT ambapo waumini wa gwajima wanasali hapo, kimachoenda kutokea hapo ni kipigo cha hatari, Mungu yuko wapi awatetee hao watu? Ni jumapili tatu zimepita wanakula kipigo tu,...
Mwenyezi Mungu amekaa kmya kwa sababu Gani? Mwenye kujua au wataalamu wa teolojia tuambieni,..