darren gold
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 312
- 185
huyu dogo amekaa kishoga shogaPraise the lord..
Hivi kwanini watu wamejaribu kumuandama Goodluck Gozbert mara nyingi watumishi wa Mungu wamekuwa wakimuona wa dunia na sababu zao kubwa ni uvaaji wake.
Uimbaji wake hapa wanapenda kuzungumzia suala la kutungia baadhi ya wasanii nyimbo kama baraka prince.
Suala lingine ya kuwa uimbaji wake hajawahi taja jina la Yesu
Nyie mnamuelewaje kwani???
New-song shukrani