Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 14,138
- 33,525
Watu wengi wamekuwa wakilalamika hata kuona forex ni kama utapeli au betting sababu kubwa mapokeo ya watu ya mekuwa kinyume chake wakati kiuhalisia ni tofauti kabisa.
Sababu kuu kwa nini watu hufikiri forex ni betting Wengi huingia bila elimu wala mkakati mfano Mtu anaona app au video ya mtu anapata pesa, anafungua akaunti na kuanza kubonyeza BUY/SELL bila kuelewa. Anaenda kwa bahati nasibu.
Matokeo yake? Hasara kubwa — kisha asema forex ni kamari.
Watu wengi Wanatumia “luck” badala ya analysis Badala ya kutumia uchambuzi wa kiufundi (technical) au msingi (fundamental), wanategemea “labda leo itapanda”.Hii ni kama kubashiri mpira bila kujua timu au wachezaji.
Wengi utumia mawazo ya Muda mfupi wa matokeo — kama kamari.
Forex inaruhusu kupata faida au hasara haraka (ndani ya dakika au saa), kama vile betting inavyofanya.
Kwa nje, inaonekana kama kasino — lakini tofauti ni msingi wa maamuzi.
Matangazo ya pesa za haraka kama
Kuona Baadhi ya “mentors” au matangazo mitandaoni huonyesha maisha ya kifahari bila kueleza kazi, ujuzi na nidhamu inavyohitajika.
Hii huwafanya watu kufikiri forex ni njia ya haraka kupata pesa bila juhudi — kama kamari.
Kutokujua tofauti kati ya uwekezaji na kamari. Kamari ni kubashiri bila taarifa, wakati forex sahihi ni kuamua kwa kutumia data, takwimu, na uchambuzi.
Watu wengi hawajui tofauti hiyo kuwa Ukweli ni huu Forex si betting kama Unajifunza vizuri (technical + fundamental analysis), Unatumia risk management (kama SL/TP),Una nidhamu ya trading na Unafuatilia uchumi, siasa, vikwazo, n.k.
Nukuu ya kuzingatia:
“Betting is based on hope. Trading is based on strategy.”
Sababu kuu kwa nini watu hufikiri forex ni betting Wengi huingia bila elimu wala mkakati mfano Mtu anaona app au video ya mtu anapata pesa, anafungua akaunti na kuanza kubonyeza BUY/SELL bila kuelewa. Anaenda kwa bahati nasibu.
Matokeo yake? Hasara kubwa — kisha asema forex ni kamari.
Watu wengi Wanatumia “luck” badala ya analysis Badala ya kutumia uchambuzi wa kiufundi (technical) au msingi (fundamental), wanategemea “labda leo itapanda”.Hii ni kama kubashiri mpira bila kujua timu au wachezaji.
Wengi utumia mawazo ya Muda mfupi wa matokeo — kama kamari.
Forex inaruhusu kupata faida au hasara haraka (ndani ya dakika au saa), kama vile betting inavyofanya.
Kwa nje, inaonekana kama kasino — lakini tofauti ni msingi wa maamuzi.
Matangazo ya pesa za haraka kama
Kuona Baadhi ya “mentors” au matangazo mitandaoni huonyesha maisha ya kifahari bila kueleza kazi, ujuzi na nidhamu inavyohitajika.
Hii huwafanya watu kufikiri forex ni njia ya haraka kupata pesa bila juhudi — kama kamari.
Kutokujua tofauti kati ya uwekezaji na kamari. Kamari ni kubashiri bila taarifa, wakati forex sahihi ni kuamua kwa kutumia data, takwimu, na uchambuzi.
Watu wengi hawajui tofauti hiyo kuwa Ukweli ni huu Forex si betting kama Unajifunza vizuri (technical + fundamental analysis), Unatumia risk management (kama SL/TP),Una nidhamu ya trading na Unafuatilia uchumi, siasa, vikwazo, n.k.
Nukuu ya kuzingatia:
“Betting is based on hope. Trading is based on strategy.”