Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,516
- 40,627
Uezekaji wa nyumba unatakiwa uwe tofauti na unavyoezeka choo cha nje
Kila kitu kina sababu yake. Umewahi kuishi nyumba yenye paa la chini sehemu kama Dar ukaona khabari
umenikumbusha niliish nyumba moja hiv yan uko juu ya bati ikifika mchana utasema wanapalilia ubwabwa ikafika kipind nalala na dripu bila vile nazan nisinge toboa yan na ukoboko wangu nilianza kubanduka magambaKila kitu kina sababu yake. Umewahi kuishi nyumba yenye paa la chini sehemu kama Dar ukaona khabari yake?
Hayo 'matope' ya maji (mvua) kwenye bati ni kitu gani?Nyingi sababu zinakuwa kutoruhusu matope ya maji kukaa hata sekunde ili kupunguza kuntu, kingine hata joto pia linapunguza panakuwa na distance kutoka kweny paa mpaka kweny Gypsum kwa eneo la katikati.
Matone ya mvua nilikosea😂😂Hayo 'matope' ya maji (mvua) kwenye bati ni kitu gani?
wakati naanza maisha nilikuwa nakaa nyumba yenye paa la chini yani ukiinua tu mkono juu unagusa paa aiseee ile nyumba ilikuwa lazma ukaoge ndo uje ulale mda huo huo tena feni ikiwa speed ya mwishoKila kitu kina sababu yake. Umewahi kuishi nyumba yenye paa la chini sehemu kama Dar ukaona khabari yake?
Zinazoongelewa hapa ni kituko tofauti na hizi
Hii tabia ukienda Arusha ndio utacheka hayo mapaa... Chuga wanafanya sana ujenzi wa hivyo. Personally naonaga ni kitukoWakuu sana ni nini kinafanya watu waezeke nyumba na paa linaenda juu kama piramidi?
Kuna faida gani? Standard zinasemaje?
View attachment 2414305
View attachment 2414306
View attachment 2414308
Nani alikuruhusu upige picha nyumba yangu na kuileta huku???
Wazalishaji wa mabati wameleta design hizo ili mtumie bati nyingiWakuu sana ni nini kinafanya watu waezeke nyumba na paa linaenda juu kama piramidi?
Kuna faida gani? Standard zinasemaje?
View attachment 2414305
View attachment 2414306
View attachment 2414308
Ni nzuri nyumba havuji maji n apia na hayo mabati yakinyeshewa mvua unalala Kwa Raha snaWakuu sana ni nini kinafanya watu waezeke nyumba na paa linaenda juu kama piramidi?
Kuna faida gani? Standard zinasemaje?
View attachment 2414305
View attachment 2414306
View attachment 2414308
Hilo dari lina uimara gan wa kufanya chumbaYeah. Wengine huko kwenye paa ni km nyumba ya juu.kuna uwezekano wa kuweka vyumba vya kulala au stoo ya kuhifadhia vitu hivyo km eneo ni dogo anapata vyumba vya ziada.
Hii ni point nzuri sana. Hapo nimejifunza kitu sio vitanda tu vinaweza kuwa double decker, kumbe hata nyumba yaweza kuwa double decker.
Kikubwa kuta zipandeMimi nyumba yangu nitapaua hivi hutaki kwendaa!View attachment 2418066
Nyumba inakuwa Kama Uyoga au Mwamvuli inakuaje na urembo kwa staili hiyo?Zipo sababu za kitaalam za kuezeka nyumba kama piramid.
1-Kusaidia kutirirsha maji kirahisi na kurpuka unyevu unyevu wa muda mrefu unao weza kusababisha kutu.
2-Kuzuia vitu vigumu kutuama na kusababisha utunzi wa kutu.
3-Hupunguza joto kwa kwa kuongeza vacuum .
4-Hupunguza hatari ya kuezuliwa, ukilinganisha na nyumba zenye paa fupi.
5-Husaidia kutokuvuja.
Kumbuka swala la kuvuja mara nyingi huchangiwa wakatati wa kipaua, usitishike ukikutana na Hali hii huwa inatokea mara nyingi na inatibika.
6-Urembo/mwonekano bila shaka umezungumzwa sana.
Uvimo Civil Group tunakufanyia nyumba yako kuwa smart.
Wasiliana nasi kwa huduma zenye uhakika kuanzia ramani hadi kukabidhiwa ufunguo, sisi uvimo tunakufanyia Kila kitu unacho taka.
0753927572
WhatsApp na Kupiga.
fundi Maiko akitaka pesa nyingi za kupaua ni lazima apaue kwa mtindo huo. Hapo anakuingiza gharama kubwa za material na ufundi bila sababuNdiyo urefu wa paa uzidi urefu wa kuta?
Tabia ya kuiga bila sababuWakuu sana ni nini kinafanya watu waezeke nyumba na paa linaenda juu kama piramidi?
Kuna faida gani? Standard zinasemaje?
View attachment 2414305
View attachment 2414306
View attachment 2414308