Kwanini watu wa dini wanaepuka mijadala ya historia ya utumwa ya mwafrika

Resistance ilikwepo ila haikuwa na nguv sababu waafrika hawakuwa na mwamko ila kipindi cha ujio wa wazungu , resistance kubwa ilikwepo sababu waafrika they have side to stand and beware of foreign invasion , yaan waarabu walitukuta tupo not United as a society but unified by a leader ( king & chief ) in which Arabs just had to collaborate with local leaders in order to get what they wanted from us ( slaves mostly and other rawmaterials) , Arabs never came to colonise ( notes this please ) that's y they received little resistance from Africans compared to whites who came to Africans demanded full control over the continent ( whites were organised and came to africa under the protection of their Homeland government )
Mkuu umesoma link yangu? Mansa Musa kaleta waarabu kwenye Himaya yake, Himaya kubwa ambayo hakuna Nchi yoyote ya sasa Africa yenye ukubwa huo, jamaa aliunganisha Nchi kama 20 za wakati huo, utajiri mkubwa kushinda Mabilionea 5 wa Forbes combined wa sasa, jamaa miaka 1000 iliopita yeye mwenyewe Ana mpunga kuliko Pato la Tanzania miaka 10, chukua MO, Bakhresa, na nchi nzima mpaka duka LA mangi mtaani kwako hawafikii utajiri Wa mtu mmoja, then useme hawakuwa United as society?

Ukitaka kujua Mansa musa amefanya nini Angalia alipokufa Nchi alizokuwa ameziunganisha zilivyoparanganyika Sababu ya kukosa uongozi mzuri.
 
Kama unazungumzia za kina Fulani, Songhai ninazozijua mimi Mansa Musa alikuwa ni wa kwanza, yeye Ametangulia.

Kama unazungumzia za kina Fulani, Songhai ninazozijua mimi Mansa Musa alikuwa ni wa kwanza, yeye Ametangulia.

Mkuu hujajibu swali langu , Kati ya Mansa Mussa na vita vya Jihadism vya Mtume Mohammad katika sudanic states zote , kipi kilianza ?
 
Hapa Sikatai mkuu, ndio nilitaka tufikie conclusion hii, waarabu ni wafanya biashara wakubwa toka Enzi za mitume mpaka leo, walikuja kwa interest zao wakakuta biashara ya utumwa, waka fanya biashara ya utumwa pamoja na mambo mengine yanayowanufaisha, hawakupingwa Sababu natives pia walifaidika.

Ndo hiko ivyo mkuu ila hiyo haijustify kuwa waarabu Ni Wema maana wamefanya maovu mengi kuliko wazungu ila walilindwa na waafrika walionufaika na biashara hyo tofaut ,

Conclusively ubaya was waarabu I almost equal to wazungu ila wazungu walikuwa aggressive Sana Kenny unyonyaji wa maliasili zetu na kuua asili yet na kutuachia kidonda cha milele ( kupoteza umoja wetu km waafrika maana walitugawa kabila moja au ukoo mmoja Ila nchi mbili tofauti ) , madhara ya mwarabu mengi hayakuwa ya kudumu maana hakuwa na mipango mikakati ya kudumu kwa vile walikuja kibiashara ambapo kuisha kwa biashara kukaua uhalali was wao kuendelea kuwepo uku , wengine walirud uarabun na wengine waliolowea uku Wakabakia huku Afrika mpk leo hii
 
Mkuu umesoma link yangu? Mansa Musa kaleta waarabu kwenye Himaya yake, Himaya kubwa ambayo hakuna Nchi yoyote ya sasa Africa yenye ukubwa huo, jamaa aliunganisha Nchi kama 20 za wakati huo, utajiri mkubwa kushinda Mabilionea 5 wa Forbes combined wa sasa, jamaa miaka 1000 iliopita yeye mwenyewe Ana mpunga kuliko Pato la Tanzania miaka 10, chukua MO, Bakhresa, na nchi nzima mpaka duka LA mangi mtaani kwako hawafikii utajiri Wa mtu mmoja, then useme hawakuwa United as society?

Ukitaka kujua Mansa musa amefanya nini Angalia alipokufa Nchi alizokuwa ameziunganisha zilivyoparanganyika Sababu ya kukosa uongozi mzuri.

Mkuu nlikuuliza Kati ya Mansa Mussa na Haarakati za Kijihadi za Mtume Mohammad kipi kilitangulia?
 
Mkuu nlikuuliza Kati ya Mansa Mussa na Haarakati za Kijihadi za Mtume Mohammad kipi kilitangulia?
I mean Harakati za Mtume huko Sudanic states ambapo Leo ndiyo Afrika magharibi
 
Hebu tuache kuongelea wafanyakazi wa ndani ongela wa Africa wenye pesa ama vipaji wanakuwa treated vipi middle east? Nitatoa mifano michache

1. Asamoah Gyan
Huyu jamaa kacheza ligi ya uingereza, Kosa lake ni kufunga tu uingereza akiwa na Timu ya Ghana, toka ashangilie kwa nguvu maisha yake Hayakuwa sawa tena Uingereza, kakaa sana Uarabuni na ndio sehemu pekee alikokuwa akithaminiwa na kupewa respect.

2. Maraisi mbalimbali kama Iddi Amini, Mugabe, na watu wakubwa Africa kina Alex Masawe, Matapeli wa Nigeria etc. Kifupi watu wakiharibu Africa wanakimbilia Middle East, wangekua wanateswa huko wangekimbilia kwengine.

3. Qatar leo hii ni matajiri wanaenda kucheza World cup hawana hata wachezaji, wanakuja Kukopa Huku Africa, walikuwa na uwezo kuchukua wabrazili, waspain na nchi nyengine ambazo kimuonekano zipo kama wao, lakini wamekuja Africa.
Qatar_National_Team_at.width-1320.height-990.format-jpeg.jpg


Si Qatar tu tumeona mara nyingi nchi za middle east zikishiriki world cup majority ya wachezaji ni weusi.

4. Kuna watu wanakuwa 50/50 ni Macho Tara wa kiarabu na kibantu unakuta huku wanakataliwa wengine wanapigwa kama kipindi cha nyuma Znz lakini kule wanapokelewa vizuri na wanapewa nafasi mpaka nyengine nyeti kama uraisi/usultani.

5. Kuna matajiri wakubwa middle east wenye Asili ya Ki Africa, mfano AL amoudi net worth yake ni 12B usd anachuana na Dangote,

Hivyo mkuu leo hii ukiwa na elimu yako ama kipaji chako ukienda middle east Utathaminika,
Sijasoma yote ila inaonyesha unaumwa ugonjwa unaitwa ushamba wa mzungu.. Yani unaushamba flan wa watu weupe ndio maana unawatetea
 
Mkuu, naongelea kabla ya Berlin Conference wakati Omani Arabs walikuwa wakitawala kabla ya ujio wa Germans na Brits
Huyo bwana unasumbuka bure ni mmoja wa washamba wa Waarabu ambaye ameaminishwa Waislamu wote ni ndugu.. Huyo mtu anaweza asimsaidie Mwafrika mwenzake kisa sio muislamu ila akamsaidia Mwarabu hawa ndio watu wakiwa viongozi wanauza nchi kwa ushamba wa watu weupe
 
Kwani hawakutesa babu zetu, wazungu na Waarabu wote walitesa babu zetu na mpaka leo wanawatesa Waafrika hao Waarabu

Acha roho mbaya na ubaguzi wewe, tatizo mlishakaririshwa na kupandikizwa chuki kwa waarabu,.,.hizi akili za kipumbavu sijui zitaishaga lini!!!!

Waarabu wamezaliwa huku, wamekulia huku, wana marafiki kibao wa kiafrika huku, in short wana ukaribu sana na black kuliko jamii yoyote unayoijua ,lakini bado unawachukia na kuwaona wabaguzi na wakatili!!


Ushauri wangu, acha kuendelea kuwakaririsha wanao na watu wa nje huu ujinga mliokaririshwa, otherwise chuki hizo zitaendendelea kuwepo.
 
Mkuu hujajibu swali langu , Kati ya Mansa Mussa na vita vya Jihadism vya Mtume Mohammad katika sudanic states zote , kipi kilianza ?
Kuwa specific vita vipi? Weka hata link, maana kuna maelfu ya vita yamepiganwa huo ukanda.
 
Huyo bwana unasumbuka bure ni mmoja wa washamba wa Waarabu ambaye ameaminishwa Waislamu wote ni ndugu.. Huyo mtu anaweza asimsaidie Mwafrika mwenzake kisa sio muislamu ila akamsaidia Mwarabu hawa ndio watu wakiwa viongozi wanauza nchi kwa ushamba wa watu weupe

Sasa unachobisha ni nini kama sio ndugu zetu!!!! Muislamu ndugu yake Muislamu. Siwezi kuwa na ndugu asiekua muislamu hata kidogo. Una swali jingine?
 
Huyo bwana unasumbuka bure ni mmoja wa washamba wa Waarabu ambaye ameaminishwa Waislamu wote ni ndugu.. Huyo mtu anaweza asimsaidie Mwafrika mwenzake kisa sio muislamu ila akamsaidia Mwarabu hawa ndio watu wakiwa viongozi wanauza nchi kwa ushamba wa watu weupe
Unaweza leta ushahidi hapa Tanzania ama ukanda wetu huu wa waarabu kutesa watu? Waarabu wengi hasa hao wa Oman munaowasema humu,

1. Oman ni nchi Tajiri wao wanaingiza hela za kigeni na hawatoi utajiri wa nchi kwenda nje

2. Hutasikia scandal za ufisadi toka kwao na wana matajiri kibao

3. Biashara zao ni zile zinazoongeza welfare kwa watu

4. Nadra kuikuta wameshtakiwa ama kufanya crime mbalimbali

5. Shule zao ama miradi yao ni katika iliyo bora kabisa nchi hii.

Kifupi mkuu ni watu ambao wapo respected kwenye jamii zao, ndio maana unakuta waarabu wapo pwani miaka na Miaka hawachukiwi na wazawa wa pwani.

Nenda bara sasa, unakuta mtu si yeye wala baba yake wala babu yake alieishi na mwarabu ila ndio Ana chuki 99%, hajui hata anaongea nini,
 
Acha roho mbaya na ubaguzi wewe, tatizo mlishakaririshwa na kupandikizwa chuki kwa waarabu,.,.hizi akili za kipumbavu sijui zitaishaga lini!!!!

Waarabu wamezaliwa huku, wamekulia huku, wana marafiki kibao wa kiafrika huku, in short wana ukaribu sana na black kuliko jamii yoyote unayoijua ,lakini bado unawachukia na kuwaona wabaguzi na wakatili!!


Ushauri wangu, acha kuendelea kuwakaririsha wanao na watu wa nje huu ujinga mliokaririshwa, otherwise chuki hizo zitaendendelea kuwepo.
Hutoelewa waulize wanaofanya kazi nje huku kwenye nchi za kiarabu hutoamini utakachosikia afu si weupe wote ni wabaya kuna wabaya na wazuri pia
 
Hutoelewa waulize wanaofanya kazi nje huku kwenye nchi za kiarabu hutoamini utakachosikia afu si weupe wote ni wabaya kuna wabaya na wazuri pia
Hayo majitu yamevurugwa na dini wanaamini Waarabu ni ndugu zao wakati waarabu wanawaona ni kima tuu
 
Dini zimekuwa chanzo cha maovu yote, dini imeleta ubaguzi ndan ya dini na hata walio nje ya dini.mf. Ameokoka na huyu hajaokoka ndani ya wakristo.
Dini imetumika kunyonya nguvu za watu fuatilia kanisa la RC huko nyuma eti ili usamehewe vizuri unapewa kipande cha ardhi upalilie mazao yao. Viongozi wanapoona waumini wameanza kuerevuka wanabadilika ili kuendelea kuwanyonya waumini kwa vitisho vya moto wa milele. CHUKUA HATUA, UWE HURU. MUNGU HANA DINI
 
Dini zimekuwa chanzo cha maovu yote, dini imeleta ubaguzi ndan ya dini na hata walio nje ya dini.mf. Ameokoka na huyu hajaokoka ndani ya wakristo.
Dini imetumika kunyonya nguvu za watu fuatilia kanisa la RC huko nyuma eti ili usamehewe vizuri unapewa kipande cha ardhi upalilie mazao yao. Viongozi wanapoona waumini wameanza kuerevuka wanabadilika ili kuendelea kuwanyonya waumini kwa vitisho vya moto wa milele. CHUKUA HATUA, UWE HURU. MUNGU HANA DINI
Umeongea ukweli
 
Hayo majitu yamevurugwa na dini wanaamini Waarabu ni ndugu zao wakati waarabu wanawaona ni kima tuu
Yani ni washenzi waarabu sababu wanaua sana wasichana wa kazi mfano wanawatupa kwenye mifuko ya taka ni vile mambo hayatangazwi ili sisi tunashuhudia sana upuuzi wao wanatutesa watu weusi saaana kisa rangi zetu maneno machafu wanayo sema hayatangazwi ili wapo wenye roho mbaaaaayaaaaaa.......


God is only live in Africa ni vile wanatuchafulia ili watuibie ila sisi ni wakarimu mno
 
Dini zimekuwa chanzo cha maovu yote, dini imeleta ubaguzi ndan ya dini na hata walio nje ya dini.mf. Ameokoka na huyu hajaokoka ndani ya wakristo.
Dini imetumika kunyonya nguvu za watu fuatilia kanisa la RC huko nyuma eti ili usamehewe vizuri unapewa kipande cha ardhi upalilie mazao yao. Viongozi wanapoona waumini wameanza kuerevuka wanabadilika ili kuendelea kuwanyonya waumini kwa vitisho vya moto wa milele. CHUKUA HATUA, UWE HURU. MUNGU HANA DINI
Asante ndugu yangu haya mamb usipoyafuatilia kwa umakini yata kubeba kama upepo wa kisulisuli
 
Back
Top Bottom