Kwanini watu huoga baada ya kujamiiana?

Kwanini watu huoga baada ya kujamiiana?

kwani mkuu ujui kusex ni uchafu tena uchafu haswa pusy huwa inatema sana baada ya kumwagiwa mbegu kwa iyo mkitoka apo mnanukia kibeberu
Mkuu hiyo avatar yako nimeshindwa kuielewa kabisaaa nakata rufaa kwa mod[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Barbarosa huu uzi ukiweza kuutetea kwa hoja vizuri unashinda..
Coz uko na points nyingi sanaa
 
uwe unaoga mtoa mada baada ya kujamiiana bana nyie ndio uwa mna harufu kama kumechinjwa kitimoto
 
Ukiona huogi baada ya tendo ujue hujapiga mechi ya ukweli, ila ukipiga ya ukweli mkimaliza full mijasho
lazima mkumbuke kuoga tu
 
Sababu hasa ni ipi? Kwani nimesikia wengi sana wakisema ni lazima kuoga baada ya kumaliza kujamiiana, mpaka leo sijaelewa sababu hasa ni ipi?

najibu ktk uislam

uislam umetulazimisha usafi wa nje na ndani yani mwili na nafsi

ktk usafi wa mwili ni lazma kuoga baada ya kujamiiana, hii husafisha mwili na pia kuna baadhi ya ibada kama swala na kusoma quran huwezi kufanya ukiwa na janaba

pia kuoga ni lazima kwa mwanaume pindi tu manii yatakapotoka either bahati mbaya kama usingizini ktk ndoto au kwa makusudi kama kujamiiana au kujichua

pia mwanamke akitoka katika hedhi au akimaliza damu ya uzazi pia inamlazimikia kuoga kujisafisha

pia itawapasa mwanamke na mwanaume kuoga pindi tu mwanaume akiingiza japo kichwa cha uume ktk uke hata bila kutoka kwa manii

hizi sababu juu zinasababisha tunachoita Josho Kubwa ama josho dogo ni lile la kila siku kama tufanyavyo kawaida

kujibu kwa ufupi ni kuwa kuoga baada ya kujamiiana ktk uislamu ni lazima na kuna namna yake na sharti zake maalum za kuoga.

kama wewe ndugu yangu ni muislam tafuta vitabu vya fiqhi au ustadh unaemuamini akueleweshe kama si muislam pia waweza fanya upate majibu
 
Piga passport tu eneo la tukio inatosha
 
uwe unaoga mtoa mada baada ya kujamiiana bana nyie ndio uwa mna harufu kama kumechinjwa kitimoto


Huwa siogi ndiyo maana nashindwa kuelewa ni kwa nini lazima kuoga, kama nikioga siyo kwa sababu ya kumaliza kufanya tendo la ndoa na nimependaye bali ni kwa sababu nyingine!
 
najibu ktk uislam

uislam umetulazimisha usafi wa nje na ndani yani mwili na nafsi

ktk usafi wa mwili ni lazma kuoga baada ya kujamiiana, hii husafisha mwili na pia kuna baadhi ya ibada kama swala na kusoma quran huwezi kufanya ukiwa na janaba

pia kuoga ni lazima kwa mwanaume pindi tu manii yatakapotoka either bahati mbaya kama usingizini ktk ndoto au kwa makusudi kama kujamiiana au kujichua

pia mwanamke akitoka katika hedhi au akimaliza damu ya uzazi pia inamlazimikia kuoga kujisafisha

pia itawapasa mwanamke na mwanaume kuoga pindi tu mwanaume akiingiza japo kichwa cha uume ktk uke hata bila kutoka kwa manii

hizi sababu juu zinasababisha tunachoita Josho Kubwa ama josho dogo ni lile la kila siku kama tufanyavyo kawaida

kujibu kwa ufupi ni kuwa kuoga baada ya kujamiiana ktk uislamu ni lazima na kuna namna yake na sharti zake maalum za kuoga.

kama wewe ndugu yangu ni muislam tafuta vitabu vya fiqhi au ustadh unaemuamini akueleweshe kama si muislam pia waweza fanya upate majibu


Kama imeamriwa hivyo kidini basi hapo sina la kusema kwa maana nilikuwa nashindwa kuelewa hasa sababu ya kuoga mara tu baada ya kumaliza kujamiiana kwa maana mimi hulala moja kwa moja hata muda wa kuamka na kwenda bafuni sina tena!
 
Back
Top Bottom