omosangora
Member
- Oct 29, 2017
- 53
- 26
Wanajamvi mm si mwenyeji sana humu japo huwa nasoma sana humu jamvini na kujifunza kutokana na mijadala mbalimbali inayotolewa humu ndani,
Leo nimejitokeza kwenu kutaka msaada wa kimawazo
Kuna watumishi wa Mungu wanaitwa wachungaji nimekuwa nikifuatilia familia zao hususani watoto wao kwanini hawana maadili ili hali baba zao ni wachungaji wa kiroho?
Naomba kuwasilisha tafadhali
Leo nimejitokeza kwenu kutaka msaada wa kimawazo
Kuna watumishi wa Mungu wanaitwa wachungaji nimekuwa nikifuatilia familia zao hususani watoto wao kwanini hawana maadili ili hali baba zao ni wachungaji wa kiroho?
Naomba kuwasilisha tafadhali