Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,513
Husika na kichwa cha habari,
Napenda tuzungumze kiroho zaidi na
Sitataja watumishi hapa majina.
Ila nataka tujadili kwa kila ambaye ameona au kusikia changamoto ambazo zinawapata hawa watumishi.
Wengine ni watumishi wazuri sana ila hawapo na waume au wake zao.
Wengine ni waimbaji wakubwa tu ila hawapo katika ndoa zao.
Na wengine wameamua kuolewa upya na wanaume wengine.
Tena ndoa zao zimekuwa zikivunjika vibaya sana tena na aibu juu.
Nimekuwa nikijiuliza sana, nini kinasababisha watu hawa waachane.
Kama ni neno la Mungu wanalijua vizuri sana, na wanafundisha vizuri.
Kama ni wa waimbaji, wanaimba vizuri sana na nyimbo zinatubariki.
Napenda tuzungumze kiroho zaidi na
Sitataja watumishi hapa majina.
Ila nataka tujadili kwa kila ambaye ameona au kusikia changamoto ambazo zinawapata hawa watumishi.
Wengine ni watumishi wazuri sana ila hawapo na waume au wake zao.
Wengine ni waimbaji wakubwa tu ila hawapo katika ndoa zao.
Na wengine wameamua kuolewa upya na wanaume wengine.
Tena ndoa zao zimekuwa zikivunjika vibaya sana tena na aibu juu.
Nimekuwa nikijiuliza sana, nini kinasababisha watu hawa waachane.
Kama ni neno la Mungu wanalijua vizuri sana, na wanafundisha vizuri.
Kama ni wa waimbaji, wanaimba vizuri sana na nyimbo zinatubariki.