Tangu kuteuliwa na CV yake nilikuwa very impressed.,
Ila juzi akisoma Bajeti ya Wizara yake nilikua very dissapointed..was like WTF is this.!!i was in shock kusikia ile Bajeti.,
Namba zinasumbua kusoma si useme Billion 3.567, kuna haja gani kupresent kwa umma vitu visivyoeleweka?
i hope atarekebisha.,haikuwa nzuri kwa kweli