Holy Trinity
Member
- Oct 10, 2023
- 16
- 16
Nenda usukumani uone Punda wanavyoshushiwa kipigo na mjeledi
Na ng'ombe wa kulimia na kuchotea maji pia.Nenda usukumani uone Punda wanavyoshushiwa kipigo na mjeledi
Kwa makabila ya kifugaji it's normal Ila Wa uswahili ni woga kinoma hata kuku tu wakienyejiNa ng'ombe wa kulimia na kuchotea maji pia.
Namba 3 ni very true na ushahidi ninao miaka fulani mbwa wangu alishawahi kuniokoa kwenye issue ya hatari sana kwa kuja kunishtua kwa hali ya kitofauti ambayo sikuizoea kabla.1. Tz watu wengi hawana disposable income(kipato-kodi) kubwa, tunasikia watu wengi wanaishi chini ya dola 5, dola 1 moja kwa siku. Kutunza mnyama ni jukumu na lina gharama zake, wenzetu mambele wana disposable income kubwa kwahiyo wana uwezo wa kutunza mifugo vizuri.... sio kuwalisha makombo.
2. Tuna tamaduni ya kuhusisha mifugo na uchafu, unakuta mtu hataki kugusa mbwa anaona kinyaa, hii ipo kwa watu wengi.... yaani pets na livestock sisi tunaona ni kama pests
3. Tusichokijua ni kwamba ukiishi na mnyama yeyote kuanzia akiwa kachanga, kuna biological process inaitwa imprinting, yaani anabond na wewe anakuona kama kiongozi/mzazi.... mahusiano kati ya binadamu na wanyama yanawezekana.
4. Kulingana na point ya 3, wabongo tushazoea kila mnyama ana kazi yake, ukiachana na wanaoliwa, mbwa ni wa ulinzi, paka wa kufukuza panya.... mambele kuna livestock, wanafugwa ili waliwe... na kuna pets, wanafugwa ilimradi tu kama company
DuhTanzania wanyama tunaoishi nao wanateseka sana kwakweli, ni kama vile waliumbwa na shetani wakati tumeumbwa nao na Muumba wetu alietupa mamlaka tumsaidie kuwatunza, Watanzania tunasali sana na kuomba dua ila ya nini hivi vyote kama hatupo tayari kuukubali uumbaji wa viumbe vingine vilivyoumbwa na Baba wa mbinguni / Allah?
Ni mwaka unaisha sasa paka wako hujawahi hata kumpa zawadi ya samaki mzima.
Ni mwaka unaisha sasa mbwa wako hujawahi kwenda buchani umnunulie kilo ya nyama umchomee ama umchemshie.
Mbuzi ama kuku umemnunua wa kumchinja, yafaa umtendee haki walau kwenye safari yake ya mwisho umuandali malazi safi, chakula na maji viwepo, kisha kesho yake umchinje, si sawa apigwe na mvua ama upepo wa el nino, chakula umbanie na maji anywe kwenye vyombo vichafu kisha kwa unafki eti umuombe Mungu kabla ya kumchinja.
Paka ama mbwa kakuzoea hujawahi hata kukaa nae sehemu kumpeti peti, akija unamwambia tokaa, yupo kwao tayari aende wapi?
Mbwa wako kakuzoea hujawahi hata kucheza nae michezo ya kukimbizana ama mpira
Mbwa yumo kwenye banda kila siku, hujawai kutembea nae hata siku moja jioni
Unafugia mkoa gani hao njiwa?Mi nawapenda njiwa wangu, nawanunulia choroko na mtama wainjoi, wakiona tu nmebeba container wananifata....siwarushii tu nakaa chini kabisa wanasogea karibu kula.
hao paka mbwa hapana aseee huko sipo sina hobby nao mie
Jijini kwa mwenezi wa chamaUnafugia mkoa gani hao njiwa?
Maskini tangu lini akawa na upendo yeye mwenyewe hajipendiTanzania wanyama tunaoishi nao wanateseka sana kwakweli, ni kama vile waliumbwa na shetani wakati tumeumbwa nao na Muumba wetu alietupa mamlaka tumsaidie kuwatunza, Watanzania tunasali sana na kuomba dua ila ya nini hivi vyote kama hatupo tayari kuukubali uumbaji wa viumbe vingine vilivyoumbwa na Baba wa mbinguni / Allah?
Ni mwaka unaisha sasa paka wako hujawahi hata kumpa zawadi ya samaki mzima.
Ni mwaka unaisha sasa mbwa wako hujawahi kwenda buchani umnunulie kilo ya nyama umchomee ama umchemshie.
Mbuzi ama kuku umemnunua wa kumchinja, yafaa umtendee haki walau kwenye safari yake ya mwisho umuandali malazi safi, chakula na maji viwepo, kisha kesho yake umchinje, si sawa apigwe na mvua ama upepo wa el nino, chakula umbanie na maji anywe kwenye vyombo vichafu kisha kwa unafki eti umuombe Mungu kabla ya kumchinja.
Paka ama mbwa kakuzoea hujawahi hata kukaa nae sehemu kumpeti peti, akija unamwambia tokaa, yupo kwao tayari aende wapi?
Mbwa wako kakuzoea hujawahi hata kucheza nae michezo ya kukimbizana ama mpira
Mbwa yumo kwenye banda kila siku, hujawai kutembea nae hata siku moja jioni