Kwanini Watanzania wengi hawajui/hawafanyi Biashara za Exportation kwenye mazao ya Kilimo?

@mbiyitaza dadangu nikupe siri kwenye ujasiriamali kwenye changamoto nyingi hpo ndyo hela ilipo badala ya kukata tamaa unatakiwa utafute solution once utakapopata solution mambo mengine yooote yatakaa kwenye mstari
umesema kweli aisee!
 
Well said Sir! Mchawi wetu ni akili zetu wenye. The way we don't allow our mind to look in big picture and this start from our Tz leaders (government) to citizen. So far am interested with it sir, nahis naweza jifunza kitu
Welcame sir get in touch with me, thanks
 
Mchawi namba moja CCM...wanajuwa mkiwa na fedha mtawakataa..tajiri hatishiwi nyau na wenyewe wanawafanya wananchi masikini ili waendelee kuwatawala
Umenena kaa mfalme suleiman, i mean king solomon, if you want to control people, deny them 2 thnaings EDUCATION and WEALTH, na ndio tz watu wengi huchagua ccm ,nandio tz itabaki nyuma kabisa, barikiwa mkuu
 
Thanks ndugu for your inputs. Machache umeongea lakini yametufungua kichwa.
 
Changamoto nilizoziona kwa upande wangu ni 1.sera mbovu za serikali,wakati wenzetu wanapambana kuwatafutia na kulinda masoko ya bidhaa za nchi zao,sie huku tunafanyiana roho mbaya tu na kila siku kuwekeana mazuio,
2.vibali,kuvipata mpaka uhonge sana,usumbufu na ukiritimba mwingi mno,again ROHO MBAYA.
3.Uelewa na mwamko mdogo,ingawa tunaanza kupata akili taratibu
4.kutokuwa na viwanda vya kutosha,hususani vidogovidogo vya kuongeza thamani.
 
kha
 
Changamoto ni nyingi sana.Lakini sera pia ni mbovu,unaweza ukaenda wizara ya viwanda na biashara wale maafisa wa masoko nao wanataka wawe madalali ili kupata connection ya soko na ABC zake.
Kuna kipindi nilikuwa nafanya biashara ya nyama ya mbuzi nimekutana na hivi vitu.
Kuna mtu kaongelea nyanya,hapo Angola kuna soko zuri tu la nyanya.Wanauza kwa kilo na hufikia hadi US dola kumi kwa kilo kulingana na msimu.

Ukienda Makete,kuna matufaa(apples) mazuri tu tena makubwa kama yale ya South Africa tena ni ya asili sio GMO.Lakini hayana soko.
 
Mi nadhani kua Mazao kwanza yamegawanyika katika makundi makuu mawili, ya matunda na nafaka (kunaweza kuwepo makundi mengine).
Mazao ya matunda ni perishable so yanahitaji extra utunzaji ili yaweze kufika salama huko yaendako. Huu utunzaji wa extra ni gharama, pengine uwe na friji au friza so ndio maana wengi hushindwa hizi gharama za kuyatunza.

Mazao ya Nafaka ni Durable ila sasa return yake sio kivile, mpaka uweze ku export mazao mengi.

Lakini tatizo jingine ni soko au taarifa za soko. Wengi hawajui wapi yalipo masoko ya mazao mbali mbali huko kwengineko duniani
 
Muda mwingi tumekuwa tukijikita kwenye kilimo cha kujikimu (subsistence farming) ambacho mara nyingi hakizalishi ziada ya kutosha.
Pili, taifa letu kwa muda mrefu halijawa na sera ya kuwawezesha wakulima kuona kilimo kama chachu ya kujikomboa kiuchumi. Wala kuweka mazingira ambayo wakulima wanaweza kutumia ardhi yao kama mdhamana kaika kupata mikopo kutoka kwenye taasisi za fedha (mabenki) ili kuimarisha mitaji yao.
Tatu, balozi zetu za nje na zile zinazowakilishwa hapa kwetu, zimechelewa kuwa na economy deplomacy. Mabalozi wetu wa pande zote hawajajiingiza kwenye kutafuta masoko na kuwaunganisha wakulima na masoko hayo, ukiachilia mbali yale yanayouzwa moja kwa moja na serikali.
Nne, wengi wenye fedha hufikiria namna ya kuzungusha fedha yao kwa njia za haraka haraka zisizokuwa na usumbufu (low risk). Kwa maana nyingine hawako na moyo wa ujasiliamali na ubunifu.
Tano, ukosefu wa elimu na ufahamu mdogo wa lugha ya mawasiliano.
Sita, maafisa ugani wetu wamekuwa wa maofisini. Hawatembelei wakulima ili kuwapa maarifa, ili hata kwa kilimo cha jembe, walime kwa tija!
 

Well said shemeji, yote uliyosema ni KWELI NA KWELI TUPU. Lakini sasa TUFANYEJE ili tupone!?
 

Will get in touch. I have just started greenhouse farming for vegetables.
 
Well said Sir , Mimi kama mtoa mada niliona tatzo kubwa sana kwenye hii biashara na nikaamua kuandika uzi huu hapa
Mimi ni mtaalamu wa kilimo na nafanya kazi na wakulima wengi sana kwa sasa na ni Imani yangu kuwa kama masoko ya nje yataimarika nitakuwa na soko kubwa sana na nitafurahi Zaidi kuona wakulima wangu wakiwa na hali nzuri ya kifedha na kupata faida kubwa na biashara yangu itakuwa kubwa Zaidi

Nimejaribu kuzunguka maeneo mengi .... unlocking the potential na nikagundua kwa kweli watanzania tuna kazi ya ziada ya kufanya ili tuweze kuwa na maisha bora Zaidi

Naomba tuwasiliane tuyajenge
 
Tanzania ni nchi ya maneno mengi vitendo nill.
Kumbuka hasara waliyopata wakulima kuzuia kuuza mazao nje.
Hakuna fidia wala kujali ni story tuu!!
 
Umenena kaa mfalme suleiman, i mean king solomon, if you want to control people, deny them 2 thnaings EDUCATION and WEALTH, na ndio tz watu wengi huchagua ccm ,nandio tz itabaki nyuma kabisa, barikiwa mkuu
Vikwazo vingi na sera mbovu ni vikwazo vya uchumi.
Maua na mboga kuexport kupitia Nrb, cargo flights zinakwepa gharama!!
 
kwema kaka,
asante kwa kutukumbusha umuhimu wa kufanya biashara kimataifa kupitia kilimo. Yote yaliyosemwa yapo, ila hayataondoka kwa porojo. Vitendo vitaondoa hizi changamoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…