Kwanini Watanzania wengi hawajui/hawafanyi Biashara za Exportation kwenye mazao ya Kilimo?

@mbiyitaza dadangu nikupe siri kwenye ujasiriamali kwenye changamoto nyingi hpo ndyo hela ilipo badala ya kukata tamaa unatakiwa utafute solution once utakapopata solution mambo mengine yooote yatakaa kwenye mstari
umesema kweli aisee!
 
Well said Sir! Mchawi wetu ni akili zetu wenye. The way we don't allow our mind to look in big picture and this start from our Tz leaders (government) to citizen. So far am interested with it sir, nahis naweza jifunza kitu
Welcame sir get in touch with me, thanks
 
Mchawi namba moja CCM...wanajuwa mkiwa na fedha mtawakataa..tajiri hatishiwi nyau na wenyewe wanawafanya wananchi masikini ili waendelee kuwatawala
Umenena kaa mfalme suleiman, i mean king solomon, if you want to control people, deny them 2 thnaings EDUCATION and WEALTH, na ndio tz watu wengi huchagua ccm ,nandio tz itabaki nyuma kabisa, barikiwa mkuu
 
Hallo i am a kenyan based in the European union, nitajitahidi kuandika na swahili ila munajua sisi wakenya swahili yetu ni ya kuomba maji na pia nafahamu nikiandika na english wemgi hapa hawataelewa, na sisemi hivyo kwa ubaya dada na kaka zangu wabongo na pia masemeji wangu maana nafikiri nitaoa huko kwenu, sasa tuingia kwa hii jambo la export, kweli vile huyu kaka amesema kuexport to european union kuna masariti magumu sana hata kenya iko muda walifunguwa kuexport hapa EU sababu ya kitu tunaita MLI, yaani ni chemicals ngapi ziko kwa hio tunda au mboga, na pia unahitaji hii kitu inaitwa GAP yaani hio inaoyesa vile mazao huaza toka mbegu mpaka inafika kuexport, kazi hio, kenya iko na ardhi dogo sana lakini inatengeneza billions of shillings kila mwaka na export of fresh produce, ila tz mko na ardhi tele rotuba nzuri lakini munatengeneza hela chache sana kutoka export of farm produce, WHY, kwanini, moja elimu ni changamoto huko bongo, 2 hamna viongozi ambao wanajali taifa lenu, 3 wakulima hawana hela na maarifa ya kisasa, kaa irragation, greenhouses , cold stroge facilities, sababu ni nyingi.tz ni taifa mungu aliibariki kabisa, lakini elimu na uongozi ndio changamoto. hebu fikiria tz ndio wenye mifugo mingi nambari 2 africa, lakini munaangiza nyama toka nje ya nchi, mko na over 2,000 coastline, mko na 3,000 rufiji delata acres amazo munaweza kuuza kufunga na kuuza schrimps and crabs, good mashamba ambapo munaweza kuza avocados and hortculture na mutengeneza billions every year, lakini hamna hilo.tz needs a seriuos investor in agriculture ambae atafundisha watu jinsi ya kufanya hii export of produce from tz. mwaka huu naja hapo tz na nitasirikiana na TAHA, and pia sugcot kuona ni vipi, kwahivyo jambo ninalosema kila muda ni kuwa ukasagundua tatizo, iliobaki ni kutafuta suluhiso,so kaa kuna yeyote ambae angehitaji either maarifa zaidi maana niko tayari na connection hapa EU na sio eu to hata asia and australia anaweza wasiliana nami toungee zaidi nikifika tuone vile tunaweza saidiana, mimi naamini kuwa mungu alituweka katika hii dunia tusaidiane, asanteni sana, sijui swahili yangu vipi, ukiwa intrested na hii bussiness get in touch pls, thank you
Thanks ndugu for your inputs. Machache umeongea lakini yametufungua kichwa.
 
Changamoto nilizoziona kwa upande wangu ni 1.sera mbovu za serikali,wakati wenzetu wanapambana kuwatafutia na kulinda masoko ya bidhaa za nchi zao,sie huku tunafanyiana roho mbaya tu na kila siku kuwekeana mazuio,
2.vibali,kuvipata mpaka uhonge sana,usumbufu na ukiritimba mwingi mno,again ROHO MBAYA.
3.Uelewa na mwamko mdogo,ingawa tunaanza kupata akili taratibu
4.kutokuwa na viwanda vya kutosha,hususani vidogovidogo vya kuongeza thamani.
 
Hebu kila mmoja atupe uzoefu wake kwenye Biashara za exportation

Au useme ni sababu gani zinakufanya ushindwe kufanya exportation

Mimi nitaeleza kidogo:

Leo nimeona tujadili kidogo ni kwanini sisi watanzania tunalima na tuna Ardhi nzr sana lakini hatufanyi Biashara kubwa kwenye kilimo yaani exportation , badala yake wakenya ndio wanatupiga Mzinga na kumiliki Biashara hizi Je? Tulichelewa WAP? Au ni nini ambacho hatuji?

Nitaeleza kwa namna ambavyo nimefanya utafiti wangu na kugundua mambo kadhaaa:

Kwanza kabisa, watanzania wengi sio wakulima (we a not Farmers rather we are peasants) nikiwa na maanisha kuwa hakuna mtanzania au hata kama wapo ni wachache wanaoweza kulima kuanzia hekari 50+, 100+, 250+ kwa pamoja na kuzalisha bidhaa za kilimo , kwa hyo ni ngumu kufanya Biashara za exportation kwa sababu hatuna vigezo hivyo

Pili, tulio wengi tumekuwa nyuma sana kwenye matumizi ya teknolojia pamoja na matumizi ya utaalamu kwenye kilimo vitu vya msingi kama soil test, water test, farm planning, post harvesting handling, pack house, ware house management na vingine vingi watanzania wengi hatuvijui na hatuna elimu yake , nimeeleza baadhi ya hivi vitu kwa sababu ili uweze kufanya exportation kwa baadhi ya mazao lazima uwe na certificate za taasisi ya kimataifa ya GAP sasa hawa wana vigezo na masharti yao ambayo yanaendana na vitu nilivyotaja hapo juu

Nilipokuwa naendelea kufanya utafiti kuona nani ametuloga niligundua kuwa Tanzania hasa wakulima hatuna taarifa sahihi kwenye masoko ya bidhaa za kilimo na pia tumewekuwa watu wa njaa sana na kuuza mazao Yetu Mara tuu tunapovuna kwa kuona fursa ya sisi kuwa wavivu ndio maana wahindi na waarabu ndio nakumbana nao huko masokoni kwenye Biashara kubwa za exportation na wanapata faida kubwa sana sio sana tuu faida kubwa mno (mfano mzr ni kwenye korosho) miaka yote hawa jamaa walikuwa wanapata faida kubwa kiasi gani ? Kwa sababu wakulima wananunua korosho kwa shilingi 500-1500 kwa kilo na sasa korosho hyo hyo inauza 4000 kwa kilo na wananunua just imaging

Kwa ndugu zetu wakenya matajiri wengi ni wakulima lakini sio ajabu Sana kwa wakenya kutupiga vikumbo kwenye exportation kwa sababu settlers walioanza Kilimo Kenya miaka ya 1885+ mpaka Leo wapo so not bad because their trade back home ndio maana Kenyan wanaexport sana UK, lakini soko lao liko vzr kwa sababu wana certificate za mashamba ambazo hutumika kufanya exportation iwe rahisi hasa kwenye mazao ya matunda na mboga mboga kwa hyo wanachofanya wanakuja Tanzania wananunua mazao Yetu then wana tumia certificate na label zao wanauza ulaya

Nyingine ni kwamba Tanzania tuna viongozi wengi sana ambao sio wafanyabiasha na wengi ni maskini ndio maana wakienda ulaya wanarudi na laptop na camera na wanasahau kurudi na connection za Biashara , hata wasomi wengi wanaokwenda kusoma wanarudi bila connection yoyote kitu ambacho wakenya wakienda wanarudi na akili ya Biashara kubwa , nafurahia sasa vijana wetu walioenda kusoma China wa nafanya Biashara sasa na jambo jema

Ukitaka kuanza Biashara ya exportation kwa Tanzania anza na dry food na sio mboga mboga kwa sababu hizi zinahitaji regulations nyingi sana , but grain ziko vzr sana , na pia ukitaka Biashara ya exportation ikae vzr anza na zile nchi ndogo Scandinavian countries, Asian, etc ulaya kuna milolongo Mingi, mm nimeanza kidogo na nitaleta mrejesho hapa mambo yakikaa vzr

Hebu kila mmoja atupe uzoefu wake kwenye Biashara za exportation

Au useme ni sababu gani zinakufanya ushindwe kufanya exportation
kha
 
Changamoto ni nyingi sana.Lakini sera pia ni mbovu,unaweza ukaenda wizara ya viwanda na biashara wale maafisa wa masoko nao wanataka wawe madalali ili kupata connection ya soko na ABC zake.
Kuna kipindi nilikuwa nafanya biashara ya nyama ya mbuzi nimekutana na hivi vitu.
Kuna mtu kaongelea nyanya,hapo Angola kuna soko zuri tu la nyanya.Wanauza kwa kilo na hufikia hadi US dola kumi kwa kilo kulingana na msimu.

Ukienda Makete,kuna matufaa(apples) mazuri tu tena makubwa kama yale ya South Africa tena ni ya asili sio GMO.Lakini hayana soko.
 
Mi nadhani kua Mazao kwanza yamegawanyika katika makundi makuu mawili, ya matunda na nafaka (kunaweza kuwepo makundi mengine).
Mazao ya matunda ni perishable so yanahitaji extra utunzaji ili yaweze kufika salama huko yaendako. Huu utunzaji wa extra ni gharama, pengine uwe na friji au friza so ndio maana wengi hushindwa hizi gharama za kuyatunza.

Mazao ya Nafaka ni Durable ila sasa return yake sio kivile, mpaka uweze ku export mazao mengi.

Lakini tatizo jingine ni soko au taarifa za soko. Wengi hawajui wapi yalipo masoko ya mazao mbali mbali huko kwengineko duniani
 
Muda mwingi tumekuwa tukijikita kwenye kilimo cha kujikimu (subsistence farming) ambacho mara nyingi hakizalishi ziada ya kutosha.
Pili, taifa letu kwa muda mrefu halijawa na sera ya kuwawezesha wakulima kuona kilimo kama chachu ya kujikomboa kiuchumi. Wala kuweka mazingira ambayo wakulima wanaweza kutumia ardhi yao kama mdhamana kaika kupata mikopo kutoka kwenye taasisi za fedha (mabenki) ili kuimarisha mitaji yao.
Tatu, balozi zetu za nje na zile zinazowakilishwa hapa kwetu, zimechelewa kuwa na economy deplomacy. Mabalozi wetu wa pande zote hawajajiingiza kwenye kutafuta masoko na kuwaunganisha wakulima na masoko hayo, ukiachilia mbali yale yanayouzwa moja kwa moja na serikali.
Nne, wengi wenye fedha hufikiria namna ya kuzungusha fedha yao kwa njia za haraka haraka zisizokuwa na usumbufu (low risk). Kwa maana nyingine hawako na moyo wa ujasiliamali na ubunifu.
Tano, ukosefu wa elimu na ufahamu mdogo wa lugha ya mawasiliano.
Sita, maafisa ugani wetu wamekuwa wa maofisini. Hawatembelei wakulima ili kuwapa maarifa, ili hata kwa kilimo cha jembe, walime kwa tija!
 
Hallo i am a kenyan based in the European union, nitajitahidi kuandika na swahili ila munajua sisi wakenya swahili yetu ni ya kuomba maji na pia nafahamu nikiandika na english wemgi hapa hawataelewa, na sisemi hivyo kwa ubaya dada na kaka zangu wabongo na pia masemeji wangu maana nafikiri nitaoa huko kwenu, sasa tuingia kwa hii jambo la export, kweli vile huyu kaka amesema kuexport to european union kuna masariti magumu sana hata kenya iko muda walifunguwa kuexport hapa EU sababu ya kitu tunaita MLI, yaani ni chemicals ngapi ziko kwa hio tunda au mboga, na pia unahitaji hii kitu inaitwa GAP yaani hio inaoyesa vile mazao huaza toka mbegu mpaka inafika kuexport, kazi hio, kenya iko na ardhi dogo sana lakini inatengeneza billions of shillings kila mwaka na export of fresh produce, ila tz mko na ardhi tele rotuba nzuri lakini munatengeneza hela chache sana kutoka export of farm produce, WHY, kwanini, moja elimu ni changamoto huko bongo, 2 hamna viongozi ambao wanajali taifa lenu, 3 wakulima hawana hela na maarifa ya kisasa, kaa irragation, greenhouses , cold stroge facilities, sababu ni nyingi.tz ni taifa mungu aliibariki kabisa, lakini elimu na uongozi ndio changamoto. hebu fikiria tz ndio wenye mifugo mingi nambari 2 africa, lakini munaangiza nyama toka nje ya nchi, mko na over 2,000 coastline, mko na 3,000 rufiji delata acres amazo munaweza kuuza kufunga na kuuza schrimps and crabs, good mashamba ambapo munaweza kuza avocados and hortculture na mutengeneza billions every year, lakini hamna hilo.tz needs a seriuos investor in agriculture ambae atafundisha watu jinsi ya kufanya hii export of produce from tz. mwaka huu naja hapo tz na nitasirikiana na TAHA, and pia sugcot kuona ni vipi, kwahivyo jambo ninalosema kila muda ni kuwa ukasagundua tatizo, iliobaki ni kutafuta suluhiso,so kaa kuna yeyote ambae angehitaji either maarifa zaidi maana niko tayari na connection hapa EU na sio eu to hata asia and australia anaweza wasiliana nami toungee zaidi nikifika tuone vile tunaweza saidiana, mimi naamini kuwa mungu alituweka katika hii dunia tusaidiane, asanteni sana, sijui swahili yangu vipi, ukiwa intrested na hii bussiness get in touch pls, thank you

Well said shemeji, yote uliyosema ni KWELI NA KWELI TUPU. Lakini sasa TUFANYEJE ili tupone!?
 
Hallo i am a kenyan based in the European union, nitajitahidi kuandika na swahili ila munajua sisi wakenya swahili yetu ni ya kuomba maji na pia nafahamu nikiandika na english wemgi hapa hawataelewa, na sisemi hivyo kwa ubaya dada na kaka zangu wabongo na pia masemeji wangu maana nafikiri nitaoa huko kwenu, sasa tuingia kwa hii jambo la export, kweli vile huyu kaka amesema kuexport to european union kuna masariti magumu sana hata kenya iko muda walifunguwa kuexport hapa EU sababu ya kitu tunaita MLI, yaani ni chemicals ngapi ziko kwa hio tunda au mboga, na pia unahitaji hii kitu inaitwa GAP yaani hio inaoyesa vile mazao huaza toka mbegu mpaka inafika kuexport, kazi hio, kenya iko na ardhi dogo sana lakini inatengeneza billions of shillings kila mwaka na export of fresh produce, ila tz mko na ardhi tele rotuba nzuri lakini munatengeneza hela chache sana kutoka export of farm produce, WHY, kwanini, moja elimu ni changamoto huko bongo, 2 hamna viongozi ambao wanajali taifa lenu, 3 wakulima hawana hela na maarifa ya kisasa, kaa irragation, greenhouses , cold stroge facilities, sababu ni nyingi.tz ni taifa mungu aliibariki kabisa, lakini elimu na uongozi ndio changamoto. hebu fikiria tz ndio wenye mifugo mingi nambari 2 africa, lakini munaangiza nyama toka nje ya nchi, mko na over 2,000 coastline, mko na 3,000 rufiji delata acres amazo munaweza kuuza kufunga na kuuza schrimps and crabs, good mashamba ambapo munaweza kuza avocados and hortculture na mutengeneza billions every year, lakini hamna hilo.tz needs a seriuos investor in agriculture ambae atafundisha watu jinsi ya kufanya hii export of produce from tz. mwaka huu naja hapo tz na nitasirikiana na TAHA, and pia sugcot kuona ni vipi, kwahivyo jambo ninalosema kila muda ni kuwa ukasagundua tatizo, iliobaki ni kutafuta suluhiso,so kaa kuna yeyote ambae angehitaji either maarifa zaidi maana niko tayari na connection hapa EU na sio eu to hata asia and australia anaweza wasiliana nami toungee zaidi nikifika tuone vile tunaweza saidiana, mimi naamini kuwa mungu alituweka katika hii dunia tusaidiane, asanteni sana, sijui swahili yangu vipi, ukiwa intrested na hii bussiness get in touch pls, thank you

Will get in touch. I have just started greenhouse farming for vegetables.
 
Hallo i am a kenyan based in the European union, nitajitahidi kuandika na swahili ila munajua sisi wakenya swahili yetu ni ya kuomba maji na pia nafahamu nikiandika na english wemgi hapa hawataelewa, na sisemi hivyo kwa ubaya dada na kaka zangu wabongo na pia masemeji wangu maana nafikiri nitaoa huko kwenu, sasa tuingia kwa hii jambo la export, kweli vile huyu kaka amesema kuexport to european union kuna masariti magumu sana hata kenya iko muda walifunguwa kuexport hapa EU sababu ya kitu tunaita MLI, yaani ni chemicals ngapi ziko kwa hio tunda au mboga, na pia unahitaji hii kitu inaitwa GAP yaani hio inaoyesa vile mazao huaza toka mbegu mpaka inafika kuexport, kazi hio, kenya iko na ardhi dogo sana lakini inatengeneza billions of shillings kila mwaka na export of fresh produce, ila tz mko na ardhi tele rotuba nzuri lakini munatengeneza hela chache sana kutoka export of farm produce, WHY, kwanini, moja elimu ni changamoto huko bongo, 2 hamna viongozi ambao wanajali taifa lenu, 3 wakulima hawana hela na maarifa ya kisasa, kaa irragation, greenhouses , cold stroge facilities, sababu ni nyingi.tz ni taifa mungu aliibariki kabisa, lakini elimu na uongozi ndio changamoto. hebu fikiria tz ndio wenye mifugo mingi nambari 2 africa, lakini munaangiza nyama toka nje ya nchi, mko na over 2,000 coastline, mko na 3,000 rufiji delata acres amazo munaweza kuuza kufunga na kuuza schrimps and crabs, good mashamba ambapo munaweza kuza avocados and hortculture na mutengeneza billions every year, lakini hamna hilo.tz needs a seriuos investor in agriculture ambae atafundisha watu jinsi ya kufanya hii export of produce from tz. mwaka huu naja hapo tz na nitasirikiana na TAHA, and pia sugcot kuona ni vipi, kwahivyo jambo ninalosema kila muda ni kuwa ukasagundua tatizo, iliobaki ni kutafuta suluhiso,so kaa kuna yeyote ambae angehitaji either maarifa zaidi maana niko tayari na connection hapa EU na sio eu to hata asia and australia anaweza wasiliana nami toungee zaidi nikifika tuone vile tunaweza saidiana, mimi naamini kuwa mungu alituweka katika hii dunia tusaidiane, asanteni sana, sijui swahili yangu vipi, ukiwa intrested na hii bussiness get in touch pls, thank you
Well said Sir , Mimi kama mtoa mada niliona tatzo kubwa sana kwenye hii biashara na nikaamua kuandika uzi huu hapa
Mimi ni mtaalamu wa kilimo na nafanya kazi na wakulima wengi sana kwa sasa na ni Imani yangu kuwa kama masoko ya nje yataimarika nitakuwa na soko kubwa sana na nitafurahi Zaidi kuona wakulima wangu wakiwa na hali nzuri ya kifedha na kupata faida kubwa na biashara yangu itakuwa kubwa Zaidi

Nimejaribu kuzunguka maeneo mengi .... unlocking the potential na nikagundua kwa kweli watanzania tuna kazi ya ziada ya kufanya ili tuweze kuwa na maisha bora Zaidi

Naomba tuwasiliane tuyajenge
 
Hapa kwetu tatizo kubwa ni sera nzuri kwakila nyanja watu wanaogopa kupoteza unaweza kuangaika na kilimo miaka nenda mika rudi ukatafuta soko ukaanda mzigo mala serekali imepiga marufuku kusafirisha mazo nje kisha serekali inakupangia sehemu ya kuuza mazao yako watu wanaogopa kufelishwa
Tanzania ni nchi ya maneno mengi vitendo nill.
Kumbuka hasara waliyopata wakulima kuzuia kuuza mazao nje.
Hakuna fidia wala kujali ni story tuu!!
 
Umenena kaa mfalme suleiman, i mean king solomon, if you want to control people, deny them 2 thnaings EDUCATION and WEALTH, na ndio tz watu wengi huchagua ccm ,nandio tz itabaki nyuma kabisa, barikiwa mkuu
Changamoto nilizoziona kwa upande wangu ni 1.sera mbovu za serikali,wakati wenzetu wanapambana kuwatafutia na kulinda masoko ya bidhaa za nchi zao,sie huku tunafanyiana roho mbaya tu na kila siku kuwekeana mazuio,
2.vibali,kuvipata mpaka uhonge sana,usumbufu na ukiritimba mwingi mno,again ROHO MBAYA.
3.Uelewa na mwamko mdogo,ingawa tunaanza kupata akili taratibu
4.kutokuwa na viwanda vya kutosha,hususani vidogovidogo vya kuongeza thamani.
Vikwazo vingi na sera mbovu ni vikwazo vya uchumi.
Maua na mboga kuexport kupitia Nrb, cargo flights zinakwepa gharama!!
 
Well said Sir , Mimi kama mtoa mada niliona tatzo kubwa sana kwenye hii biashara na nikaamua kuandika uzi huu hapa
Mimi ni mtaalamu wa kilimo na nafanya kazi na wakulima wengi sana kwa sasa na ni Imani yangu kuwa kama masoko ya nje yataimarika nitakuwa na soko kubwa sana na nitafurahi Zaidi kuona wakulima wangu wakiwa na hali nzuri ya kifedha na kupata faida kubwa na biashara yangu itakuwa kubwa Zaidi

Nimejaribu kuzunguka maeneo mengi .... unlocking the potential na nikagundua kwa kweli watanzania tuna kazi ya ziada ya kufanya ili tuweze kuwa na maisha bora Zaidi

Naomba tuwasiliane tuyajenge
kwema kaka,
asante kwa kutukumbusha umuhimu wa kufanya biashara kimataifa kupitia kilimo. Yote yaliyosemwa yapo, ila hayataondoka kwa porojo. Vitendo vitaondoa hizi changamoto.
 
33 Reactions
Reply
Back
Top Bottom