Sonara
JF-Expert Member
- Oct 2, 2008
- 726
- 68
Kwa muda mwingi huko nyuma Mzee yousufu bin makamba (katibu Mkuu wa CCM )alikuwa anawaeleza waTZ kuwa ukitaka Biashara yako yende vizuri ujiunge na CCM ,kwa manaa hiyo alikuwa anaelewa nini kinaendelea ndani ya chama na serekali kuhusiana na uchotaji wa pesa na kuwashirikisha wafanya Biashara waliokuwa tayari kunakamisha uchumi wa nchi.
Last edited: