mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 81,364
- 107,116
Kizazi cha sahvi ndiyo waoga kabisa kutoka njeHatuna uthubutu kama wakenya na wanigeria waliotapakaa sehemu nyingi tu duniani
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Ova
Kizazi cha sahvi ndiyo waoga kabisa kutoka njeHatuna uthubutu kama wakenya na wanigeria waliotapakaa sehemu nyingi tu duniani
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
All of the above ikiwemo hali ya kiuchumi.Mwanamke aitwaye Cassandra de Pecol kutoka Connecticut, alifanikisha ndoto yake ya kutembelea nchi zote duniani, 193,
akiwa na umri wa miaka ishirini na saba.
Mpaka anafikisha miaka 18, Canada ndiyo nchi pekee aliyokuwa amefika, tena, ni kwa vile mama yake anatokea huko. Sababu kubwa iliyomfanya asisafiri akiwa mdogo ni uwezo mdogo wa kifedha.
Kufanikiwa kwake kuzitembelea nchi 193 ni jitihada zake binafsi. Anavyoonekana si tajiri, ila anapenda kusafiri. Lakini kuna Watanzania ambao pengine wana uwezo mkubwa kifedha kumzidi yeye lakini bado hawasafiri.
Ukizilinganisha nchi za Afrika Mashariki, hasa Kenya, Uganda, na Rwanda, Watanzania ndiyo wanaoongoza kwa kutokusafiri kwenda nchi zingine. Kwa nini hivyo?
1. Umaskini?
2. Lugha?
3. Ugumu wa upatikanaji wa passport?
4. Ushamba?
5. Utamaduni?
Sababu ni nini?
Rwanda..mwaka huu naenda Ruanda
Tuna mambo mengi kichwani ndo maana hatuwezi kusafiri, hata ukiangalia nchi za wenzetu wanafocus na ushoga kwa sababu hawana shida ya maji, umeme, umasikini na afya. Akili zao zinaanza kutafuta shida nyingine maana binadamu tumeumbwa kusolve shida na matatizo. Ndo maana hata wabongo tukishinda vijiweni hatuwezi kujikalia tu tutaanza kuchunguza watu na kufuatilia watu that is our human nature.Mwanamke aitwaye Cassandra de Pecol kutoka Connecticut, alifanikisha ndoto yake ya kutembelea nchi zote duniani, 193,
akiwa na umri wa miaka ishirini na saba.
Mpaka anafikisha miaka 18, Canada ndiyo nchi pekee aliyokuwa amefika, tena, ni kwa vile mama yake anatokea huko. Sababu kubwa iliyomfanya asisafiri akiwa mdogo ni uwezo mdogo wa kifedha.
Kufanikiwa kwake kuzitembelea nchi 193 ni jitihada zake binafsi. Anavyoonekana si tajiri, ila anapenda kusafiri. Lakini kuna Watanzania ambao pengine wana uwezo mkubwa kifedha kumzidi yeye lakini bado hawasafiri.
Ukizilinganisha nchi za Afrika Mashariki, hasa Kenya, Uganda, na Rwanda, Watanzania ndiyo wanaoongoza kwa kutokusafiri kwenda nchi zingine. Kwa nini hivyo?
1. Umaskini?
2. Lugha?
3. Ugumu wa upatikanaji wa passport?
4. Ushamba?
5. Utamaduni?
Sababu ni nini?
Panda jahazi kibishi mpaka zenjiMi kwakweli napenda sana kusafiri, napenda shida ni account yangu hata nchi ya zanzibar tu hapo salio halitoshi
Au nivae boya nipige mbizi 😁Panda jahazi kibishi mpaka zenji
Ova
Ugali mtamu😄Mwanamke aitwaye Cassandra de Pecol kutoka Connecticut, alifanikisha ndoto yake ya kutembelea nchi zote duniani, 193,
akiwa na umri wa miaka ishirini na saba.
Mpaka anafikisha miaka 18, Canada ndiyo nchi pekee aliyokuwa amefika, tena, ni kwa vile mama yake anatokea huko. Sababu kubwa iliyomfanya asisafiri akiwa mdogo ni uwezo mdogo wa kifedha.
Kufanikiwa kwake kuzitembelea nchi 193 ni jitihada zake binafsi. Anavyoonekana si tajiri, ila anapenda kusafiri. Lakini kuna Watanzania ambao pengine wana uwezo mkubwa kifedha kumzidi yeye lakini bado hawasafiri.
Ukizilinganisha nchi za Afrika Mashariki, hasa Kenya, Uganda, na Rwanda, Watanzania ndiyo wanaoongoza kwa kutokusafiri kwenda nchi zingine. Kwa nini hivyo?
1. Umaskini?
2. Lugha?
3. Ugumu wa upatikanaji wa passport?
4. Ushamba?
5. Utamaduni?
Sababu ni nini?
Ulikuwa na hoja mujarabh ila sasa hapo ulipochagua kuanzia daahMwanamke aitwaye Cassandra de Pecol
Wengine tulisafiri kibaharia tu lkn syo kutembea,kimchakatoAu nivae boya nipige mbizi
Wazungu wana save hela kwa ajili ya vacations piaSio kwamba hatupendi kusafiri ni kwamba nauli ndio changamoto wenzetu wametatua swala la nauli ndio maana wanafanikiwa ukijifungia ndani fursa pia unazifungia kutoka Mkoa au Nchi nyingine ni kufungua fursa huko...
Huyo shangazi amejitakiaKusafiri ni anasa kwa mwananchi ambaye hajui kesho asubuhi atakula nini huku anadaiwa kodi ya nyumba, kurejesha kikoba, ada za watoto na gharama za matibabu ya shangazi aliyemeza panga
Zote hizo. Kumbuka ukiongelea point moja, hizo nyingine inabidi ziwe constant. Unaenda hivyo hadi mwisho.1. Umaskini?
2. Lugha?
3. Ugumu wa upatikanaji wa passport?
4. Ushamba?
5. Utamaduni?
Hapo kwenye kupata paspoti uhamiaji nimekuelewa sanaIko hivi ukiangalia wazungu wengi ni watu ambao wanafanya sana saving hata wenye vipato vya kawaida.
Wanaweza saving kwakuwa kwanza kiwango cha utegemezi kwao ni kidogo sana. Yani utakuta baba na mama wana mtoto mmoja au hawana na hamna mtu anaewaomba hela.
Hakuna sijui michango ya ukoo, sijui mtoto wa mjomba ada shule, mara rafiki anaoa, mara bibi anaumwa n.k
Birth control imesaidia wenzetu sana. Sisi huku mtu ana ndugu zaidi ya laki na akipata tu ka ajira ka kulipwa laki saba basi kila mtu anamtolea macho, vizinga visivyoisha.
Huyo mtu ata save sangapi ili aweze kutembelea nchi mbalimbali?
Kingine kwa wenzetu wa nje huko wengi wanakula generational wealth. Yani mtu anazaliwa anakuta familia iko well-off kuanzia vizazi kadhaa vilivyopita. So yeye anaendeleza kutengeneza hela tu na future ya kizazi chake so mambo kama kusafiri ni kawaida tu.
Chamwisho ni nchi yetu hii ina mifumo ya ajabu sana. Mtu kumiliki passport tu inaonekana kama vile ni jambo la ajabu sana. Ukienda uhamiaji kutaka passport inakuwa ni mchakato mgumu utadhani unataka kwenda mbinguni.
Nchi za wenzetu kuwa na passport ni kawaida na kila raia anayo kama document muhimu. Hapa kwetu passport inachukuliwa tofauti sijui kwanini CCM hawataki raia wamiliki passport?