GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,528
- 108,808
"Yanga SC haihusiki kabisa na Kupima COVID-19 Wachezaji wa Timu ngeni na waulizwe Serikali ya Tanzania. Na kuhusu hao Mashabiki kuingia waulizwe TFF na Watu wa Wizara na siyo Sisi Yanga SC" Haji Manara Msemaji wa Yanga SC.
"Haji Manara na Yanga SC yake wasitake Kutupa lawama kwa Watu wengine kwa Uzembe wao wenyewe. Mechi zote za Vilabu Mwenyeji huwa ni Klabu na Mechi za Timu ya Taifa Mwenyeji ni TFF hivyo Yanga SC waache maneno walipe hiyo Faini.
Kama Mashabiki walioonekana Uwanjani hawakuwa wa Yanga SC mbona Viongozi wao Waandamizi muda wote walikuwa wakionekana nao na wakifanya Mipango Mipango? Tuacheni Unafiki CAF siyo Wapuuzi kama tunavyodhani" Jemedari Said Kazumari Mchambuzi EFM Radio.
Taarifa: EFM Radio Sports Headquarters leo
GENTAMYCINE nikiwa nasema Watu wengi wa Yanga SC Uwezo wao wa Kufikiri ni Mdogo huwa hamnielewi ila taratibu sasa mtanielewa tu.
Serikali imchukulie hatua Haji Manara.
"Haji Manara na Yanga SC yake wasitake Kutupa lawama kwa Watu wengine kwa Uzembe wao wenyewe. Mechi zote za Vilabu Mwenyeji huwa ni Klabu na Mechi za Timu ya Taifa Mwenyeji ni TFF hivyo Yanga SC waache maneno walipe hiyo Faini.
Kama Mashabiki walioonekana Uwanjani hawakuwa wa Yanga SC mbona Viongozi wao Waandamizi muda wote walikuwa wakionekana nao na wakifanya Mipango Mipango? Tuacheni Unafiki CAF siyo Wapuuzi kama tunavyodhani" Jemedari Said Kazumari Mchambuzi EFM Radio.
Taarifa: EFM Radio Sports Headquarters leo
GENTAMYCINE nikiwa nasema Watu wengi wa Yanga SC Uwezo wao wa Kufikiri ni Mdogo huwa hamnielewi ila taratibu sasa mtanielewa tu.
Serikali imchukulie hatua Haji Manara.