Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,330
Wewe kaka umeongea points. Ungekuwa karibu! we acha tu.
ungemfanyaje?, maana naona uko tayari tayari
Wewe kaka umeongea points. Ungekuwa karibu! we acha tu.
Yashakuwa hayo ee? hilo ni pozi tu mpendwa.
HE HE HEE,KAMALIZIE KWANZA KUVAA VIZURI KISHA URUDI HAPA MAANA INAONEKANA KAMA UMETOKA KUKOJOA KISHA UKAJA KULOG IN HAPA YUPO FIDEL80 NA MASANILO NGOJA WAKUONE.Yashakuwa hayo ee? hilo ni pozi tu mpendwa.
:smile-big: YAANI WEWE HUCHELEWI HATA MIMI NASHANGAAhapao ulikuwa unavaa au unavua shostito???
Yashakuwa hayo ee? hilo ni pozi tu mpendwa.
Nina gf wangu, tangu anaingia advance level,anafanya mtihani mpaka mda wa
kusubiri matokeo alikua ni mtu mwenye nyodo sana, (offcourse mi nafanya kazi
lakini si yenye kipato kikubwa saaaaaaaaaaaaaaaaaana) ,sasa baada ya
matokeo akawa ameferi,yaani amepata matokeo ambayo ayawezi kumfikisha
chuo, sasa naona upendo umezidi kupita kiasi mpaka naona kero,maana kira saa
atataka muwasiliane na vitu vingine vingi tu. mi nafkiri huu unaweza ukawa
mfano wa utata ambao mkuu wangu anawasilisha KWA WANA JF, sasa mnasemaje kwa kesi kama hii?
HE HE HEE,KAMALIZIE KWANZA KUVAA VIZURI KISHA URUDI HAPA MAANA INAONEKANA KAMA UMETOKA KUKOJOA KISHA UKAJA KULOG IN HAPA YUPO FIDEL80 NA MASANILO NGOJA WAKUONE.
:smile-big: YAANI WEWE HUCHELEWI HATA MIMI NASHANGAA
katika kipindi hiki kigumu kwake, kafeli mtihani bila kutarajia, anahtaj mtu wa kumfariji nawe ulitakiwa uwe close kumtia moyo bt inaonekana kama umefurahia hii?
teh teh naona hapo hujakosea,subiri waje wazee wa mzuka watamtuliza,wapi fidel&masa mnahitajika hapa mumkaribishe mugeni.aaah shem yaani kwa nini niumize kichwa kutafuta jibu....may be she z still dressing up....mmh may be alikuwa anavua aingie bafuni....aaaaaaaaaah may be nyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiingi!!!! si niulize tu mwenyewe aniambie!!!
Wewe kaka umeongea points. Ungekuwa karibu! we acha tu.
huyu mwanaume bwana!!!!
inaonekana hamwamini demu wake in the first place, anaona kama anamchuna dizaini!!!
hivi kweli mtu ulikuwa matarajio fulani ghafla bin vuu umezunguka, unategemea kweli akuoneshe the same face she wore yesterday???????
huyu mwanaume bwana!!!!
inaonekana hamwamini demu wake in the first place, anaona kama anamchuna dizaini!!!
hivi kweli mtu ulikuwa matarajio fulani ghafla bin vuu umezunguka, unategemea kweli akuoneshe the same face she wore yesterday???????
Mh Shosti shostito! teh tehYashakuwa hayo ee? hilo ni pozi tu mpendwa.
unfortunately this applies both to men and women!!
wanaume watawaongelea wanawake kwa kuwa wanauzoefu nao na wanawake tutawaongelea wanaume kwa kuwa pia tuna experience na nyie!!!
yani nimeskia hasira kwa mbaaaaali, imgn nilitegemea aseme nimejitahd kumfariji... eti amemganda! inawezekana c kwamba likua na nyodo enzi hzo masomo yalimbana na hakutaka kupoteza muda, ampe nafasi sasa eti!
Kwlei na ukilizwa mazima hapa unalalamika? Ulalamike nini wakati hujiamini kiasi hiki!?
Hivi wanawake wangapi watakubali kuolewa (ama kuwa na mahusiano) na wanaume walio chini yao kimapato?
Hivi wanawake wangapi watakubali kuolewa (ama kuwa na mahusiano) na wanaume walio chini yao kimapato?
sitaki kuamini ndoa zote ulizoziona,mwanaume ndiye mwenye kipato zaidi...
na kama una mtazamo wa kuchunwa chunwa hutaoa weye!
nimetathmini ninakosa jibu sasa si bora niulize tu unipe jibu shost au vibaya?
mimi nakubali!! pesa kitu gani mpwazz!!! tutatafuta tu pamoja!!! mie bana 'aliyenizidi kipato' si mojawapo ya vigezo vyangu vya kumatafuta mwenza wa maisha!!!
ila kesho usishangae huyu huyu akifanikiwa na yeye analeta ndefu..................
sitaki kuamini ndoa zote ulizoziona,mwanaume ndiye mwenye kipato zaidi...
na kama una mtazamo wa kuchunwa chunwa hutaoa weye!
Ah wapi wanaume huwa hawabariki namna hiyo wao wapo tayari kusaidia mpaka mwisho tena bila kuongea neno lolote lakini siku mwanamke akitoa yake bana, jirani wote watajua kama leo Blandina kanunua LUKU nyumbani kwao, mi sikuwahi kuona mwanamke akawa anaiendesha familia kwa hali na mali akitoa mchango mkubwa halafu asiongee neno, tena balaa linaweza kukukumba vibaya haswa mkitofautiana kidogo atablast kila kitu anafanya yeye wewe yako suruali tu hapo kaka. Lakiini hatuna budi kuwakubali kwani ndio mama zetu hawa.Amen!