Nimefuatilia mgogoro wa Burundi jinsi ulivyo nimegundua kuna tatizo kubwa kwa hawa wenzetu warundi tofauti na hili la Nkuruziza kutaka kujiongezea muda wa kuwa madarakani.
Burundi kwa sasa hakuna civil war ni maandamano ya kawaida ya kutaka kumng'oa Nkurunziza madarakani tena tunaambiwa maandamano hayo yanafanyika mji mkuu Bujumbura sehemu zingine hali ni shwari sana.
Inakuaje wengine wafungashe kukimbilia Tanzania maandamano tu yanakufanya ukimbie nchi yako kwenda kuwa mkimbizi tena mwanaume nae anaacha kwenda kuandamana kuwaunga mkono anakimbilia kuwa mkimbizi.
Hivi huko kwenye kambi za wakimbizi kuna nini cha ziada kinachowafanya hawa watu waende kuishi huko na kuacha nchi yao, kwangu mimi binafsi mgogoro huu ni mdogo mno kutoa wakimbizi.
Burundi kwa sasa hakuna civil war ni maandamano ya kawaida ya kutaka kumng'oa Nkurunziza madarakani tena tunaambiwa maandamano hayo yanafanyika mji mkuu Bujumbura sehemu zingine hali ni shwari sana.
Inakuaje wengine wafungashe kukimbilia Tanzania maandamano tu yanakufanya ukimbie nchi yako kwenda kuwa mkimbizi tena mwanaume nae anaacha kwenda kuandamana kuwaunga mkono anakimbilia kuwa mkimbizi.
Hivi huko kwenye kambi za wakimbizi kuna nini cha ziada kinachowafanya hawa watu waende kuishi huko na kuacha nchi yao, kwangu mimi binafsi mgogoro huu ni mdogo mno kutoa wakimbizi.