tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,301
kazi ipo huko ndoani
ukinifumua marinda kisa wewe mwanaume basi nami nawatafuta wanawake wenzangu majenedariii wakutie chupa za kutosha ili nawe uwe na heshima.
kumuingilia mkeo kinyume na maumbile hakuleti kwako wewe mfanyaji heshima kwa mkeo bali kunaleta wewe kwako mfanyaji dharau kwa mkeo. Ukiwa unapenda kumuingilia mkeo kwa kinyume na maumbile basi hata siku akikusaliti mkeo na yule atakae mpelekea atampa hiyo tigo uliye anzisha wewe kazi yake .kwa hiyo usifanye kabisa kitendo hicho.
madhara saba kwa mwanamke akiingiliwa kinyume cha maumbile
1.mwenyeezi mungu humchukia sana mtu huyo (mfanyaji mwanamme na mfanywaji mwanamke)
2.mwanamke anayefanyiwa mchezo huu hupata matatizo makubwa wakati wa kujifungua ikiwa ni pamoja na kutokwa na haja kubwa mfululizo wakati akijaribukumsukuma mtoto.
Tukio hili humsababishia aibu kubwa mwanamke, kiasi cha kumshushia hadhi yake mbele ya jamii.
3.pia anaweza kumuua mtoto kwa vile kila akimsukuma atoke, pumzi hukata kutokana na misuli inayofahamika kwa jina la sphincter kulegea na kusababisha ambane mtoto.
4. Umri unaposonga, haja kubwa hutoka bila kizuizi kutokana na misuli ya sphincter inayobana njia ya haja kubwa kulegea.
5. Inaweza kusababisha saratani ya eneo hilo cancer of colon.
6. Ugonjwa wa uti, yaani uambukizi kwa njia ya mkojo, huwa sugu, maana akitokea mwanaume alifanya kitendo hicho kisha akafanya ngono kama kawaida, bakteria wanaoishi sehemu hiyo wanaingia na kuwa na madhara makubwa.
7. Hasara yake kubwa mwanaume anayekufanyia mchezo huwa hawezi kukuoa, pia ni rahisi kukutangaza kwa jamaa zake na kuonekana kituko mbele za watu, kama umeolewa heshima yako hupungua ndani ya ndoa.
wadau kwa sisi ambao tumekuta wake zetu hawana tena bikra,kuna haja ya kumfumua marinda ya nyuma ili kujenga heshima na kumbukumbu au unamsamehee bure,uendelee kula makombo?
---------------------
wadau kwa sisi ambao tumekuta wake zetu hawana tena bikra,kuna haja ya kumfumua marinda ya nyuma ili kujenga heshima na kumbukumbu au unamsamehee bure,uendelee kula makombo?
---------------------
wadau kwa sisi ambao tumekuta wake zetu hawana tena bikra,kuna haja ya kumfumua marinda ya nyuma ili kujenga heshima na kumbukumbu au unamsamehee bure,uendelee kula makombo?
---------------------
Mvua zimeishaHivi malaria ya kudengua bado ipo?
Mungu haruhusuWengine usimpomfanyia hivyo hawezi kukubali.....................Ukitaka heshima DAWA NI KUTOBOA MFUKO WA MBOLEA TU.
[h=1]Jesus would have supported gay marriage, says Sir Elton: Musician also says rules requiring Catholic priests to be celibate are old and stupid[/h]Mchezo mchafu sana chunguza hawa jamaa zetu wa asili ya arabbia wake zao wengi hujifungulia nyumbani na wana wakunga wao maalumu coz huo mchezo wanaufanya sana na wake zao.
mada zingine, ni shetani mzimamzima kutaka kupenyeza ujinga wake! badala ya kuwaza vi2 +ve, mnawaza ulawiti! ngojeni, Wakenya ndo haoo wanakuja kuwash2a EAC, sasa ndo mtajua!hizi mada nyingine!!