Kwanini wanawake wengi wetu hatupendani?

Why usimpende mwanamke mwenzio???sema tuko real kwenye hisia zetu kama umekwazwa tunareact compared to men. Wanaume wao yanakwisha hapo hapo thats why wanaonekana wanapendana ila ki ukweli kuna wanaume hawapendani hata kusalimiana tuu hakuna. Kinachotuponza wanawake ni hulka yetu ya kutotaka kushindwa na si kwamba tunachukiana labda wapo wachache wenye chuki mnazozisemea ila wengi ni mabifu tuu.
 
Haaaaa haaaaa.Huyo Dada naye Chiboko.Au walishagombana.Nionavyo Mimi Ni kwamba kabla ya wewe kuoa Kuna vile vimsaada Sasa akina WiFi Hakuna.Unategemea ampende kwa lipi[emoji3] [emoji3]
 
Kwa hiyo wewe kaka unaona sifaaa??umefanya nini Sasa.Acha kudharau Wanawake.Sijaenda Hata kidogo.Njoo Pm
 
Chuki hazijengi nyie wanawake jifunzeni kupendana
Amigo....
Kumbe wewe haujui principal ya kutawanya miguu yao.
Hawa wakipendana hatutapata fursa ya kuwapanga kama mabasi yawendo kasi.
Bora waendelee kujichukia hivyo tu ili tuendelee kuwafaudu kama jana, leo na kesho.....[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji34]
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Katika kumbukumbu zangu, sjawahi kumtusi mtoto wa kike. Wala sitajaribu.

akiniudhi saaaaaaana ntamwambia

Ona una sura mbovu kama beyonce wa jei ziii
Nimechekaaaaa sana.Aieew wewe umetokea Kibiti nini?
 
Sikubaliani nawe asilani!!

hayo maneno ya kusema wanawake hatupendani yanatoka kwa mwanaume.

Na wanaume ndio hawawapendi wanawake kila siku masimango kwa wanawake hata humu JF.

Kwa andiko lako hili naanza kukuona kama wewe ni me aisee
Fafanuaa
 
Hahahah watakuita mchochezi
 
Hii txt mkuu umeandika kwa hisia pole mkuu jaribu kutembelea sehem za ufukwe weekend ili mind ako iwe na furaha walau basi mkuu sawa eehh
 
Kula tano mkuu [emoji109][emoji109]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…