Kwanini wanawake wengi wanapenda sana zawadi/kupokea kiasi hata wanajidhalilisha?

Na amemuomba zawadi, its simple aamue kumpa au amwambie hampi, alafu hapo kujidhalilisha kukoje au mie ndio mzito kuelewa!! Huyu ana lake jambo sio bure!
acha tu ndio mpenzi wa mtu huyo
 
mie mmoja tulipoteana siku nyingi nikaona kani text hellow friend, nikaenda tazama profile pic na status nikakuta "my birthday loading.." haa haa sikumjibu nikala bati maana najua kingefuata ni zawadi kuombwa
 
Bisha sana ila ukweli mnajidhalilisha. Same thing happened to me last month. Mtu hatujaonana wala kuongea since 2010. Gafla kanikuta instagram, yani DM haipiti two hrs yupo. Salamu nyingi kujichekelesha sana, taarifa kibao. Na kukumbushiwa maombi ya zawadi. Basi mjifunze kutoka kwa first response. Ili mjiweke mbali. Mtu keshaonesha hana interest hata chembe, wewe bado upo tu. Kwa kifupi ni kweli mnajidhalilisha, period.
 
Unadhani ugumu wa maisha ndio unaochangia watu kudhalilika au kudhalilishana kwa namna moja au nyingine, kwa mfano huyo dada kukuomba zawadi ni kajidhalilisha kwako maana wewe sio mtoaji ungekuwa ni mtoaji mzuri basi bidada asingedhalilika, vilevile kwa upande wako muanzisha mada umejidhalilisha kwetu kutokana na ugumu huo huo wa maisha kwasababu ungekuwa unacho basi ungempa binti pasipo kulalamika mbele ya kadamnasi, poleni sana wote yaan wewe na huyo binti aliye kuomba zawadi. Ushauri
Jitahid kutafuta kwa bidii ili upate cha ziada ikitokea ukaombwa basi utoe pasipo kusengenya. Mwanaume wa kweli halalamiki husimamia ukweli wake kama anacho anatoa without a word kama hana atasema sina.
 
Unadhani ugumu wa maisha ndio unaochangia watu kudhalilika au kudhalilishana kwa namna moja au nyingine, kwa mfano huyo dada kukuomba zawadi ni kajidhalilisha kwako maana wewe sio mtoaji ungekuwa ni mtoaji mzuri basi bidada asingedhalilika, vilevile kwa upande wako muanzisha mada umejidhalilisha kwetu kutokana na ugumu huo huo wa maisha kwasababu ungekuwa unacho basi ungempa binti pasipo kulalamika mbele ya kadamnasi, poleni sana wote yaan wewe na huyo binti aliye kuomba zawadi. Ushauri
Jitahid kutafuta kwa bidii ili upate cha ziada ikitokea ukaombwa basi utoe pasipo kusengenya. Mwanaume wa kweli halalamiki husimamia ukweli wake kama anacho anatoa without a word kama hana atasema sina.

Kwakseli wote wamejidhalilisha, msengenyaji looh!!
 
Bisha sana ila ukweli mnajidhalilisha. Same thing happened to me last month. Mtu hatujaonana wala kuongea since 2010. Gafla kanikuta instagram, yani DM haipiti two hrs yupo. Salamu nyingi kujichekelesha sana, taarifa kibao. Na kukumbushiwa maombi ya zawadi. Basi mjifunze kutoka kwa first response. Ili mjiweke mbali. Mtu keshaonesha hana interest hata chembe, wewe bado upo tu. Kwa kifupi ni kweli mnajidhalilisha, period.
Msengenyaji mwingine.
 
Nachukia wasengenyaji mfyuuuuu na hakika hii dhambi ya kusengenya itawatafuna watu wengi sana
 
Kingine unachoshangaza ni hapo unaposema kuwa anaendekeza Njaa...

Hivi wewe uliwahi hata kumsaidia mtu yeyote 50,000/= ?
Haaaaaahaaaaaaaa unanfurahisha sana we dada hadi nimekariri jina "Alzarel" nshawahi kusaidia sana tu 50 ktu gani? kusaidiana ipo leo umekwama ww kesho naweza kwama mm kwa shida tofauti kabisa ndio maisha yalivyo ila kinachokera mtu mna miaka tangu mmemaliza o-level hamjaonana kapewa namba na nani cjui anakupigia tu na mualiko wa bday au ndoa alimradi tu kupigana hela mnakera sana!
 
Siwez kulaumu kwa uelewa wako. Unadhan uanaume ni kuhonga kipuuzi? Huo ni Uboya. Na mwanadada makini hawez jidhalilisha kuomba zawadi kwa mtu ambaye hawakuwasiliana muda mrefu. Huo ni uswahili.
Anataka sifa kwa akina Shunie hajui wanamng'ong'a lofa hyu!
 
Back
Top Bottom