Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 1,739
- 5,816
Umri wa kuanzia miaka 15-27 yaani hapo wanawake wengi huchagua kuzaa na waume za watu, vijana wa hovyo, deadbeat dads (wanaume wasiotaka kulea watoto wao na familia). Pia nimechunguza sio kwamba kwenye umri huo wanakuwa hawafatwi na wanaume sahihi, wanafuatwa na wanaume wengi sahihi, ila wanawakataa, au ndio ile mchagua nazi hupata koroma.
Ila wanakuja kujileta kwa hao wanaume waliowaona maboya few years back, wakishafika miaka 28+, au kama walikokuchagua kumebuma.
Yaani ulinikataa kipindi cha usichana wako, unapewa ujauzito unakimbiwa, baada ya 7 years baadae unakuja jileta kujifanya unanitaka kimapenzi, ili nikuhudumie wewe na mwanao, what kind of stupidity is this?
Baadhi ya wanawake sijui wanatuona hatuna akili kabisa!
Ila wanakuja kujileta kwa hao wanaume waliowaona maboya few years back, wakishafika miaka 28+, au kama walikokuchagua kumebuma.
Yaani ulinikataa kipindi cha usichana wako, unapewa ujauzito unakimbiwa, baada ya 7 years baadae unakuja jileta kujifanya unanitaka kimapenzi, ili nikuhudumie wewe na mwanao, what kind of stupidity is this?
Baadhi ya wanawake sijui wanatuona hatuna akili kabisa!