Kwanini wanawake wengi wakiwa kwenye umri mzuri (prime age) lazima wachague wanaume wasio sahihi?

Siku zote wanawake hawana akili hasa hasa katika umri huo, unakuta binti anaomba aolewe akitongozwa na mwanaume smart hataki anadate mvuta bangi tena wa huko uchochoroni kila siku lockup, sisi tutafute hela tuwaachie mambo yao. Ila tuwapige mimba kadiri tuwezavyo maana wanawahi sana kuchakaa katika umri huo baada ya kudanga sana.

Ukiona umemchakaza binti wa watu na unamtaka mchukue msitiri , ukishindwa pita hivi wewe endelea zako kuogelea huko nje.

Kila mwaka kunapisi piru zinaingia kitaa tusichoke mabaharia

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kuna kitu muandishi hakielewi! Women are selective ikija issue ya kuzaa na mwanaume. Wanachagua Alpha males ambao ni wanaume wanaojua wanachotaka. Men on top of the food chain. Wanataka wanawe wafanane au warithi izo tabia au DNA za Alpha. Wako tayari kuzaa na muuza mkaa mtafutaji ilimradi anajielewa na anajua atapata matunzo siku zote ata zikiwa pesa hazipo!

Mnaokataliwa ni nyie tunaita Nice Guys! Mnafikidi kumfanyia mwanamke kila kitu basi atakulipa kwa kukupa penzi lake. That's Needness. Na wanawake hawapendi needy men! Hawez kwanz kukupenda akikupenda bas kakuonea huruma na hawez kukupa papuchi maana anaona analipa fadhila tu ila sio kwmb ametaka! Ndo hawa mnaokuja na kulia hampewi licha ya kufany kila kitu kwao!

So mwanamke atazaa na Alpha male. Akishatimiza lengo lake ata asipokubalika kule yeye kwake anafuraha kalea mbegu haswa! Then atarudi kwako Nice Guy ambaye utalea mtoto asiye wako na uko tayar kudate single mom! Cause you're just nice not alpha!

Mara ngap umeona unamtak mwanamke anayepigwa au kufanyiwa visa na mpnz wake ila bado habanduki! Yan na jamaa n kauzu hana pesa wala nn.. ila demu haskii haoni! That's an Alpha. Sio uende utreat wanawake vibaya eti ndo ualpha. Hapana. Know what your worth. Wanaume wanaongezek thamani kadri umri unavyoenda. Ata 35 mwanaume una thamani. Utumie mda wako vzuri.
Umeongea upuuzi wa Karne!
 
Ukweli ni kuwa wengi wanautumia umri huo kudanga wanaamini kwenye kuwa na mabwana wengi ili wapige pesa.

Mindset zao hazipo kwenye kupata mume zinawaza madanga na waume za watu

Ila wapo wenzao wanaolewa vizuri tu kwenye umri huo na wana ndoa zao.

Hao wadangaji wakigonga 30+ wanashtuka madanga hayapo tena wanaanza kusumbua wanaume wawaoe
Sio wote wanadanga, hizo ni mindset za wanaume wanaokataliwa na hao wadada.

Hao wadada nao wana standard zao, sasa ukiona hohehahe umpigwa cha mbavu kisa huna criteria anazotaka unaanza kusema anadanga.

Hata hivyo atawakubali wangapi?? Huenda muda wewe unamtongoza tayari yuko na barobaro wake, akimuacha si utamuona malaya.

Acheni hizo mambo, sometimes mkubali kukatiliwa na kuamini kua nao wana maamuzi yao binafsi.
 
Umri huo binti anakua anataka kushine, aonekane mtu, aweze kumtambulisha mtu anaedate nae kwa rafiki zake.

Na pia mimi siwalaumu hao kina dada, hata akikuchagua wewe atajuaje kama wewe ni mtu sahihi?? Au labda usahihi wa mtu unaupimaje?

Mnawalaumu bure tu ila ni ngumu kupima kua huyu jamaa ni mwema au si mwema. Na kipindi hicho kila mmoja wenu anafanya jitihada za kumuwin huyo dem, so yule anaeonekana boya ni kwamba anakua hana mbinu ila yule janja janja anamuwin kwasababu ana mbinu za kumteka akatekeka.

Na kama unavojua girls wanafanya maamuzi kwa hisia, weww ukienda na propaganda zako za ndoa wakati bint ana miaka 18 atakuona jau, kuna janja ataenda na pigo za kumpeleka viwanja na shopping unadhan nani atakubaliwa??
Wewe wa ndoa atakufata akiwa na 27 yrs ili umuoe sasa ashamaliza starehe zote.
Mkuu Hapa umepiga kwenye mshono kbsa
 
Sio wote wanadanga, hizo ni mindset za wanaume wanaokataliwa na hao wadada.

Hao wadada nao wana standard zao, sasa ukiona hohehahe umpigwa cha mbavu kisa huna criteria anazotaka unaanza kusema anadanga.

Hata hivyo atawakubali wangapi?? Huenda muda wewe unamtongoza tayari yuko na barobaro wake, akimuacha si utamuona malaya.

Acheni hizo mambo, sometimes mkubali kutiliwa na kuamini kua nao wana maamuzi yao binafsi.
Ndio maana nilisema wapo ambao kwenye umri huo wameolewa

Mkuu ni ngumu sana kukuta mabinti wa siku hizi ana mshikaji mmoja

Umesema kuwa wana standard zao. Chifu standard yao kikubwa ni pesa vingine ni nyongeza tu

Hao wanatombeka vizuri tu hata kama ana barobaro wake, tena unamtomba huku akimchamba bwana wake

Asikudanganye kuwa wewe peke yako ndiye mtu wake
. Sema wewe ni danga lake kuu
 
Umri wa kuanzia miaka 15-27 yaani hapo wanawake wengi huchagua kuzaa na waume za watu, vijana wa hovyo, deadbeat dads (wanaume wasiotaka kulea watoto wao na familia). Pia nimechunguza sio kwamba kwenye umri huo wanakuwa hawafatwi na wanaume sahihi, wanafuatwa na wanaume wengi sahihi, ila wanawakataa, au ndio ile mchagua nazi hupata koroma.

Ila wanakuja kujileta kwa hao wanaume waliowaona maboya few years back, wakishafika miaka 28+, au kama walikokuchagua kumebuma.

Yaani ulinikataa kipindi cha usichana wako, unapewa ujauzito unakimbiwa, baada ya 7 years baadae unakuja jileta kujifanya unanitaka kimapenzi, ili nikuhudumie wewe na mwanao, what kind of stupidity is this?

Baadhi ya wanawake sijui wanatuona hatuna akili kabisa!
Halafu hii kweli kabisa
 
Kuna kitu muandishi hakielewi! Women are selective ikija issue ya kuzaa na mwanaume. Wanachagua Alpha males ambao ni wanaume wanaojua wanachotaka. Men on top of the food chain. Wanataka wanawe wafanane au warithi izo tabia au DNA za Alpha. Wako tayari kuzaa na muuza mkaa mtafutaji ilimradi anajielewa na anajua atapata matunzo siku zote ata zikiwa pesa hazipo!

Mnaokataliwa ni nyie tunaita Nice Guys! Mnafikidi kumfanyia mwanamke kila kitu basi atakulipa kwa kukupa penzi lake. That's Needness. Na wanawake hawapendi needy men! Hawez kwanz kukupenda akikupenda bas kakuonea huruma na hawez kukupa papuchi maana anaona analipa fadhila tu ila sio kwmb ametaka! Ndo hawa mnaokuja na kulia hampewi licha ya kufany kila kitu kwao!

So mwanamke atazaa na Alpha male. Akishatimiza lengo lake ata asipokubalika kule yeye kwake anafuraha kalea mbegu haswa! Then atarudi kwako Nice Guy ambaye utalea mtoto asiye wako na uko tayar kudate single mom! Cause you're just nice not alpha!

Mara ngap umeona unamtak mwanamke anayepigwa au kufanyiwa visa na mpnz wake ila bado habanduki! Yan na jamaa n kauzu hana pesa wala nn.. ila demu haskii haoni! That's an Alpha. Sio uende utreat wanawake vibaya eti ndo ualpha. Hapana. Know what your worth. Wanaume wanaongezek thamani kadri umri unavyoenda. Ata 35 mwanaume una thamani. Utumie mda wako vzuri.
How to be an alpha man,au characteristics za hao alpha male nizipi mkuu.
 
Kuna moja alinikataa 😁😁😁 alinambia nitafute pesa nkapokea positively kauli yake ila alimdate mshkaji wangu tunapambana nae chimbo Moja! Juzi nimekutana ana mimba kubwa Ile haikosi 7++ alivo tu nlimuonea huruma ashaanza kua na muonekano wa mtu mzima, mshkaji kamkataa mpaka anamfata kazini
Akataka contact zangu nkachukua zake nkamwambia takucheki
Msimange sana kisha mpige pumbu mpaka ya puani
 
Hao ni wajanja wa kuwateka kihisia wanawake.
Kuzaa ni matokeo ya zinaa na sio planned.
Miaka 28 angalau wanaanza kujitambua sababu Mtoto anataka mahitaji.
Under 28 ingia kwa gia ya kula bata na sio ndoa ndo utampata
 
Umri wa kuanzia miaka 15-27 yaani hapo wanawake wengi huchagua kuzaa na waume za watu, vijana wa hovyo, deadbeat dads (wanaume wasiotaka kulea watoto wao na familia). Pia nimechunguza sio kwamba kwenye umri huo wanakuwa hawafatwi na wanaume sahihi, wanafuatwa na wanaume wengi sahihi, ila wanawakataa, au ndio ile mchagua nazi hupata koroma.

Ila wanakuja kujileta kwa hao wanaume waliowaona maboya few years back, wakishafika miaka 28+, au kama walikokuchagua kumebuma.

Yaani ulinikataa kipindi cha usichana wako, unapewa ujauzito unakimbiwa, baada ya 7 years baadae unakuja jileta kujifanya unanitaka kimapenzi, ili nikuhudumie wewe na mwanao, what kind of stupidity is this?

Baadhi ya wanawake sijui wanatuona hatuna akili kabisa!
Ulimbukeni
 
Back
Top Bottom