Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

vitambi vingi vinasababishwa na vitimoto na bia na kutokufanya mazoezi FULL STOP
 
Hao wenye vitambi kazi hawawezi? Maana muonekano ukiwa mzuri huku kazi ''zero'' ni sawa na debe tupu. MIMI sipendi muonekano wa kizungu bali muonekano wa kiafrika zaidi, kwa hiyo kitambi kwangu sio ''issue''. Vitambi onyeeee! Wenye vitambi tutafutane.

Muonekano wa kizungu ndiyo upi huo? Kama huu?

fat_1719877c.jpg
 
Kila kitu wanawake tu!Nyie mshafanya mazoezi?au hamhitaji?

Wana msemo wao mwanaume pesa sura na umbile tutavumiliana na mwanamke sura tabia tutarekebishana, kwa manyoyo hiiii hatuhitaj kupungua vitumbo Bali ni kuvizidisha ili tuzid kuonekana pedesheeee.
 
Waume zao ndio wazembe wanawasababishia vitambi. 1. Hawawashughulishi vya kutosha how can they burn calories, 2.Stress >> overeating >> obesity
 
kuridhika tu kwani wanaume sababu ilikuwa nini?

sio kuridhika ni kubweteka, kwa nini mwanamke mzimaaa uote kitambi? Wengi wanawake wetu wa kiafrika hawajitambui na hawatambui wajibu wao wao ni bora liende tu. Mwanamke ananenepeana kama nguruwe huku anajiona. Sasa hata mvut wa mapenzi unapotea maana akilala ni kama guruwe tu. Kiujumla unene ni mbaya kwa wote si wanaume wala si wanawake ila kwa mwanamke kuwa na kitambi hii halijakaa vizuri kabisa.
 
Hali hii imekuwa inaogopesha sana, ina maana ni wavivu sana wa kushiriki michezo au ni uwezo mdogo wa kumaintain miili yao.

Wengine utafikiri ni wajawazito kumbe siyo au utafikiri wana nyama za nyongeza tumboni.

Dada zangu, mama zangu wapendwa. Mazoezi yana faida kubwa sana katika miili yetu.

Ngoja niwadokeze kidogo tu wote humu wana MMU. Ukifanya mazoezi, yule unayekutana naye kwenye mambo yetu yale ana enjoy sana. Mazoezi hulinda madhaifu mengi.

Asanten
 
Hali hii imekuwa inaogopesha sana, ina maana ni wavivu sana wa kushiriki michezo au ni uwezo mdogo wa kumaintain miili yao.

Wengine utafikiri ni wajawazito kumbe siyo au utafikiri wana nyama za nyongeza tumboni.

Dada zangu, mama zangu wapendwa. Mazoezi yana faida kubwa sana katika miili yetu.

Ngoja niwadokeze kidogo tu wote humu wana MMU. Ukifanya mazoezi, yule unayekutana naye kwenye mambo yetu yale ana enjoy sana. Mazoezi hulinda madhaifu mengi.

Asanten

https://www.jamiiforums.com/mahusia...ini-wanawake-wengi-mna-vitambi-siku-hizi.html
 
labda utuambie wewe maana hatulijui
tupe dawa ya kuondoa tatizo hili
Jamani kwa nini ongezeko la wanawake wenye vitambi limekuwa kubwa?
Idadi ya wanaume inapungua lakini ya wanawake inaongezeka!
Kitambi kwa mwanamke kinapunguza mvuto au hamlijui hilo nyie wanawake?
 
madawa ya uzazi wa mpango yanaongeza sana matumbo kwa wanawake. Kucontrol ulaji pia ni muhimu kama hufanyi kazi ngumu usile milo mitatu mizito kwa siku. Pia mazoezi ni muhimu unaweza kutumia dakika 10 kufanya mazoezi asubuhi kama kuruka kamba. Mchakamchaka wa eneo moja nk. Mazoezi yataka moyo kwani kuna muda mwili unagoma
 
Back
Top Bottom