mimi kama mdau wa wanawake warembo wa hapa jijini nimekuwa nikijiuliza mambo kadhaa ikiwemo hili suala la wanawake wengi kuwa na vitambi. Moja ya hisia ilikuwa starehe ya pombe aina ya bia kuwa ukiendekeza lazima upate kitumbo ambacho kinaondoa mvuto kwa mwanamke. kumbe nilikuwa napotea kimawazo, nikafanya utafiti na nikapata chanzo kumbe ni utumiaji wa dawa za kuzuia hedhi kwa wanawake..!! ambazo zina-side effect kubwa sana katika miili yao..
jamani kina dada wazuri, warembo vitu vingine sio vya kufanya ama kuiga..!