mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 12,168
- 8,936
Pia wana ndevu na sauti za kukoroma,halafu nyuma flat screen inchi 55Kila nikipataga fursa kutembelea Dar es salaam huwa naanza uchunguzi wangu,
Asilimia kubwa ya wanawake wa dar es salaam wana vitambi,
Hamjui kwamba mwanamke ikishakuwa na kitambi uzuri na urembo wake hupoteaa??
Mbaya zaidi awe na kitambi alafu awe na maziwa makubwa utamkimbia,
Wanawake jaribu ku maintain figures zenu,
Najua na hapa JF wamejaa