Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

hahahahahahah hasira zake unaweza ua mtu au ukajimaliza we mwenyewe...maana bora uwe rijali unaweza malizia hasira kwa mke wa jirani yako kama analipa sasa kila ukimuita jamaa anaangalia chini mhh lazma hadithi isomeke vingine hapo,ila tule vizuri na kufanya mazoezi mepesi kama ya kawaida hatuyawezi!
Mke wa mtu ni sumu hasa akiwa wa jirani, lakini mume wa mtu ni mtamu...........hii ni kwa mujibu wa Da Sophy!!

Hapo kwenye Red naona viwango ni lazima vizingatiwe!!! Safi sana kwa kujali maslahi ya kakako!!
 
Mke wa mtu ni sumu hasa akiwa wa jirani, lakini mume wa mtu ni mtamu...........hii ni kwa mujibu wa Da Sophy!!

Hapo kwenye Red naona viwango ni lazima vizingatiwe!!! Safi sana kwa kujali maslahi ya kakako!!
siku zote nawapenda na kuwajali kaka zangu...ndo maana sitaki muharibikiwe!
 
siku zote nawapenda na kuwajali kaka zangu...ndo maana sitaki muharibikiwe!
Orait, Viwango na speed vitazingatiwa!!

Kwa siye tulio na miili yetu itabidi mtutafutie kitu kingine cha ziada baada ya Mazoezi na chakula ya usiku kwa mama kayayii!
 
Orait, Viwango na speed vitazingatiwa!!

Kwa siye tulio na miili yetu itabidi mtutafutie kitu kingine cha ziada baada ya Mazoezi na chakula ya usiku kwa mama kayayii!
nna mpango wa kuwafungulia kananihii ka kuwachakachua ila mtakapenda maana najua wengi mazoezi kwao mzozo
 
nna mpango wa kuwafungulia kananihii ka kuwachakachua ila mtakapenda maana najua wengi mazoezi kwao mzozo
Ka-kitu gani hako? Mimi unipe offer kama hakatahusisha kuguswa makalio yangu!!! tehe tehe!!!
 
Ka-kitu gani hako? Mimi unipe offer kama hakatahusisha kuguswa makalio yangu!!! tehe tehe!!!
hhahahahhaahah kuwa mpole...inaweza ikawa ni moja ya hatua za uchakachuaji,usikonde mipango ikikamilia weye utakuwa wa mwanzo mwanzo akifatia the boss
 
hhahahahhaahah kuwa mpole...inaweza ikawa ni moja ya hatua za uchakachuaji,usikonde mipango ikikamilia weye utakuwa wa mwanzo mwanzo akifatia the boss
Hapo sasa umesema jambo la msingi sana, HAPO KWENYE RED HAPO!!!! HAGUMU!!! labda kama uchakachuzi unafanywa na shosti wako ambaye viwango vimethibitishwa!
You have earned Lunch at my Ranch sikukuu ya wakulima 8/8/'11 (sijui kwa nini hakuna sikukuu ya ya wafugaji!! damn!)
 
Hapo sasa umesema jambo la msingi sana, HAPO KWENYE RED HAPO!!!! HAGUMU!!! labda kama uchakachuzi unafanywa na shosti wako ambaye viwango vimethibitishwa!
You have earned Lunch at my Ranch sikukuu ya wakulima 8/8/'11 (sijui kwa nini hakuna sikukuu ya ya wafugaji!! damn!)
ahh ngoja nkalale mdogo kama kidot bwana...Haye kaharibu usiku wangu mororo,zoezi zima la uchakachuzi litafanywa na mzoefu chini ya usimamizi makini wa shosti......inabidi tuandamane au tuwatupie mayai viza mpaka watupatie sikukuuu ya wafugaji...ila isiwe ya wafuga vitambi!
 
watu tunatofautiana sana
wengine tuhafurahia mwanamke wako akinenepa
haitusumbui kabisaaaa...

Mwanamke kunenepa its well n gud... kwani hata mwizi akiingia ndani ya nyumba hafukuzi.. Taabu ni kwa wanaume... Kitambi sio dili kabsaaa.
 
kitambi kikizidi sana kuna siku itafika ukitaka kupiga mashine itakubidi ufunge mkanda hicho kitambi ili kibolo chako kitokezee! Yaani sipati picha! Hahahahahaaaaaaaaaa
hahahaha! Nimewaza hlo cpati picha! Mwe!
 
Mbona picha ya pili mamaa yuko peke yake? Maana wadhungu wasivyopenda unene haikawii keshatoa talaka. Kwa wabongo huyo dada bado analipa.
Huyu mwembamba mbona ni kama ana nanihi ya mwanaume? Au sijanawa uso? Hebu che hapo kwenye blue
 
Mhhh wengine tumebeba mafurushi mpaka aibu, ila si kwa kula, asubuhi napata breakfast ya kawaida , nikitoka ofisini nakula chakula cha kawaida tu cha home, then usiku huwa sili kabisa zaidi ya kula matunda, ila mhhhhhhhh!!!!
 
yaani umemaliza kila kitu mpendwa.....watu tunajisahau sana na tunashindwa kujua ni rahisi sana kuzuia maunene kuliko kujipunguza.kula vizuri,fanya mazoezi sio lazima kwenda gym hatakutembea dakika kumi kwa wiki mara tatu ni mazoezi pia na mwisho wa siku utajipenda hasa...
Kutembea dk 10 kwa wiki mara 3 inasaidia kumbe?!, ila hayo mazoezi ya kihindi kama ni hivyo basi asilimia kubwa ya wabongo maisha yao ni mazoezi.
 
Kutembea dk 10 kwa wiki mara 3 inasaidia kumbe?!, ila hayo mazoezi ya kihindi kama ni hivyo basi asilimia kubwa ya wabongo maisha yao ni mazoezi.
kuna watu ambao hawatembei kabisa wanaona uvivu...sasa kwa mtu kama huyu hata dakika 10 zinamtosha ndugu yangu
 
Bora weye utetee kidogo lakini hichi changu karibu Mr atahama sasa kimezidi.

ndio mwanzo
ndo maaana wamama aliojifungua wakila ovyo...
Sio sawa na wadada wanaokula ovyo wasiowahi kubeba mimba
 
Bongo kunenepa si ndio dili au?afadhali kuna shape nyingine hata zikinenepa zinapendeza sio kama sanam ya michelline lol kazi ipo
 
Back
Top Bottom