Kwanini wanawake wengi hawapendi kutumia condom?

Kwanini wanawake wengi hawapendi kutumia condom?

All in all tujue UKIMWI upo na ni hatari japo siku hizi watu fulani ktk jamii wasiofikirisha vichwa vyao vizuri wanaiaminisha jamii kwamba huu ugonjwa ni kama malaria tu.

Ukiwa mtu hujaupata utasema hivi ila jiulize ule mchecheto unaoupata unaposubiria majibu ukienda kupima kwa hiyari unatoka wapi then ndo ujikute unao utakuwa ktk hali gani?
Mkuu aya mambo ogopa asikwambie mtu ukimwi upo na hawa hawa ambao tunapishana nao wanaonekana wamejazia mubashara kati yao wana maambukizi kwa iyo tujitafakari wadau
 
Ila hujaandika kumaanisha ndoa au ulichoondika hukijui, sasa kama ukiwazia kufikia ndoa huwezi kufikia hatua hiyo muhimu katka maisha yako kama hujapita huku, i mean ndoa sio kitu cha kujaribu unatakiwa uwe makini na pia ni lazima utapita pita kwa watu fulani fulani nakuonja onja piampaka kufika kwenye ngazi ya ndoa,

Labda hukunielewa that's why nimeandika kwa kiswahili
 
Nimesema hivi, ni bora kusubiri ukaoa kwa kifupi badala ya kuhangaika na zinaa.
Inamana mtu ushitombe mpaka uoe nani kasema, kama umepanga kuoa baada ya 5years usubili? Alafu nani kakwambia waliooa awafanyi zinaa!? Kwa taarifa yako mkuu watu wenye ndoa ndo wanaongoza kuwa na michepuko
 
Ndomu zilishanishindaa aisee... Ziwezi kukaa lisaa lizima nasubiri kupiga Bao mojaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bora niwe nae mmoja nituliee naee... nyama to nymaaa natelezaa tuu
Mmoja utaweza kutulia nae mana wanaume ni viboro dinda
 
Find a woman who will accept the little you bring to the table honey. There is someone, for everyone.

You cannot fornicate all your life.
You are against your previous words here,,,You said, "work on your financial affairs first, then find someone"....[emoji2369]
 
Nilikia napenda rough rider... Nayo ikanichedua. Nimembiwa Durex nzuri sasa sijapata wa kujaribu nae... Nikiata ntaleta mrejesho
Mm ninazo hizo durex so tunaweza jaribu

N.B naishi mkoani😎
 
Asikudanganye mtu kuwa ndomu zina kinga. Hapana, hapana. Mwandae vizuri mwanamke, hadi utelezi utokee. Wale mnaosema ati ana maji mengi nyiye ndio mna uwezekano mkubwa kuupata. Ndomu zina madhaifu yake mengi tuu. Vile virusi huwa havihitaji double road ili vikuingie. Tundu dogo sana tiyari vinaingia. Mlainishe mwanamke kiasili yaani ulainishi utoke kwake sio nje. K inauwezo wa kujikinga yenyewe kutokana na mwanamke anavyojisikia.
Achaneni na hayo makitu tumieni nyenzo halisi alizoweka yeye aliyetengeneza hizo mashine zetu. Moja ya kukoboa na nyingine kukobolewa. Vile sio vyuma useme vimekaza. Situmii huo upuuziii nakula chupu na sina hofu.
 
Condom, imeaminika kuwa na uwezo mkubwa wa kumkinga mtu na maambukizi yatokanayo na magonjwa ya Ngono.. lakini kwa Uzoefu wangu,

IDADI KUBWA YA WANAWAKE HATA PALE MNAPOKUTANA SIKU YA KWANZA, WAMEKUWA HAWANA MSISITIZO KWA MWANAUME KUVAA KONDOM. Hii ina maanisha, ni wanawake wachache watakaokataa kufanya mapenzi na Mwanaume kwa kukosa Condom!! Wengj wao husisitiza kuwa Makini na Mimba na sio Magonjwa!!
Kiukweli condom ni hazina maana. Kama condom ni kinga tosha, ni nani anaweza kufanya mapenzi na mwenye virusi vya Ukimwi kwa kutumia condom akimjua kabisa kuwa anavyo. Anyoshe mkono.....
 
Kama condom zina washinda tumeni lubricants km KY
 
Labda hukunielewa that's why nimeandika kwa kiswahili
Kingereza chenyewe ulichotumia hata mtoto wa kindergarten anakielewa sioni hoja unayotaka kuifikisha kwa wasomaji, elewa tunaongelea matumizi sahihi ya kondom, achana na hayo mambo mengi..huwa mnafeli kwa kutoelewa.
 
Inamana mtu ushitombe mpaka uoe nani kasema, kama umepanga kuoa baada ya 5years usubili? Alafu nani kakwambia waliooa awafanyi zinaa!? Kwa taarifa yako mkuu watu wenye ndoa ndo wanaongoza kuwa na michepuko
Nimemshangaa sana, kwanza yupo nje mada.
 
Back
Top Bottom