Kwenye lugha ya Kiswahili,
Bwana ni utambulisho wa jinsia,mara nyingi ni kwa mtu ambaye amevuka uvulana,
''Mabibi na mabwana'' humaanisha wake kwa waume,
Hata kwenye kadi za mialiko,kabla ya kuandika jina utakuta maelezo ya,
Bibi....
Bwana....
Wataalamu wataongezea zaidi.