Kipindi ningali msichana mdog nilipenda mwaume mkorof mbabe nikiwa naiman ya kulindwa kujiona niko ktk ulinz mathubut lakin lilipokiluja suala.la ndoa nilipenda mwanaume mpole ili tu niishi kwa aman mana yule mtukut alishanifunza utukut ....na namshukur Mungu kanipa mwanaume.mkimya na mpole mnoAsilimia kubwa ya wanawake wanapenda kuwa kwenye mahusiano na wanaume wapole,ni sababu zipi zinawafanya kuingia katika mahusiano na wanaume wapole ?
Karibuni
HAWA SI NDIO WANAITWA ALPHA MALE? WANAWAKE WENGI WANAPENDA MA ALPHA MALEAhahaha nimecheka sana@La gioconda,nimesoma makala nyingi za saikilojia kuhusiana na hii mada,ukweli ni kwamba ktk umri wa ujana wasichana hupenda vijana chakaramu yani type ya Nay wa mitego wababe hiv,majigambo hiv,wanaopenda kutawala mazungumzo wakati wote na mahali popote,wajuaji kila kitu wanajua ili kutengeneza confidence ya kutegemewa ....
Huo sio upole ni ujingaSi kweli, wanawake wengi wanapenda wanaume wakaorofi wanaowapiga na kuwathibiti. Ukiwa mpole utapendwa ili uchezewe tu huku mkeo akiwa nje kujiuza na kujirusha na wanaume wengine kwani anajuwa hata akirudi nyumbani usiku wa manane hutomfanya kitu.
hihiihhii mi nataka mtaratibu mpole anabore na sitaki mkali naogopa saaanaWe utakuwa unazungumzia walokole..Wanawake wengi nimewasikia wanasema wanaume wapole wanabore
DO YOU THINK HE GOT THE POINT?ALITOKEA MVULANA MMOJA:
MVULANA: Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, lakini mara zote nimekua nikitumia kinga. Inawezekanaje hii?
DAKTARI: Ngoja nikusimulie hadithi. Kulikua na Muindaji ambaye alikua anabeba bunduki kila aendako. Siku moja, alichukua mwamvuli badala ya bunduki na akaenda nayo. Ghafla akatokea Simba mbele yake. Ili amtishie Simba, muindaji akatumia mwamvuli na kummiminia risasi Simba. Simba akafa palepale!
MVULANA: Sio kweli!! Lazima kulikua na mtu mwengine pembeni aliyempiga risasi Simba.
DAKTARI: Nashukuru umeelewa somo!!
KWENYE MOVIE NA SERIES ZA KIZUNGUHicho kiingilishi umekisomea wapi? Nipeleke na mie
Wapo wapole ila wepesi wa kuchukua maamuzi magumu.Asilimia kubwa ya wanawake wanapenda kuwa kwenye mahusiano na wanaume wapole,ni sababu zipi zinawafanya kuingia katika mahusiano na wanaume wapole ?
Karibuni
NJOO KWANGU MAMAA, AU UMESHAOLEWA? KUNA SIKU ULINIFURUMISHIA MATUSI NIKAWA TURNED ON ILE MBAYAA... MIMI SIO MPOLE WALA MKALI, ILA NA REASON NA WATUhihiihhii mi nataka mtaratibu mpole anabore na sitaki mkali naogopa saaana
hahahahahaha makubwa haya u made my day sugarNJOO KWANGU MAMAA, AU UMESHAOLEWA? KUNA SIKU ULINIFURUMISHIA MATUSI NIKAWA TURNED ON ILE MBAYAA... MIMI SIO MPOLE WALA MKALI, ILA NA REASON NA WATU
wanaume wapole ama vepee?Kwa wale wenye ujenz Mr aluminium glass yupo pamoja nas kwa ujenz bora wa madirsha na milango ukihitaj piga sim no +255 654 069 041 WhatsApp pia no hyo hiyo
KaribuJF.. me pia mcharuko, nimekidhi kigezo🙂🙂Ni kweli wanawake wengi huvutiwa na mwanaume mkimya. Tatizo ni kwamba huyo mwanamme atapendwa na wanawake wengi naye kwa vile ni mpole hujikuta Malaya na kuzaa ovyo. Na hata jamii ikielezwa tabia ya jamaa haiamini kwani upole wake unamfanya aaminike kwenye jamii lakini ni kondoo mwenye ngozi ya simba. Nimefanya utafiti iwe mwanamme au mwanamke mpole hanifai kwani nishaonja joto ya jiwe. Now nataka mcharuko.
We utakuwa jike dume+ SemenyaMi hadi kwenye ndoa bado nimeingia kwa mume mbabe! Yaani mi wapole siwapendi hata chembe